Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

that is a collection of one week! From 7 days back! U want for the whole year? 😀
So what hizo ni vitu za kawaida there's no story there...wakati kama huu wa mafuriko it's expected kutakuwa na power interruption... Vipi geza jana watu 11 wamekufa morogoro kutokana na mafuriko inashangaza unaconcentrate na kenya ni kama these things hazihappen kwingine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
So what hizo ni vitu za kawaida there's no story there...wakati kama huu wa mafuriko it's expected kutakuwa na power interruption... Vipi geza jana watu 11 wamekufa morogoro kutokana na mafuriko inashangaza unaconcentrate na kenya ni kama these things hazihappen kwingine

Sent using Jamii Forums mobile app
Unataka kumaanisha Tanzania hakuna mafuriko? sio nyie mlitucheka baada ya daraja a Kiyegea kukatika?












Ukweli wa Tatizo ni kwamba miundombinu yenu ni mibovu na response yenu ipo poor!
 
Phase 2 BRT Bus Stand
IMG_20200517_103621_5.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbna huskii wakenya wakilalamika eti madereva wake wengi wanapatikana positive uganda?Ata serikali ya uganda ikaamua kufunga mpaka wake na kenya sidhani kama itakua ngumu kwa wakenya kuelewa. Kwenye hili la corona halitaki siasa na unafiki kinachohitajika ni cooperation

Sent using Jamii Forums mobile app
juzi mumelalamika kuhus kwamba hamuamini test za uganda hahaha unajifanya umesahau
 
Tanzania hakuna cha lockdown,wala Baba yake lockdown wala Ndugu yake lockdown,tunaendelea kuchapa kazi wakimaliza kujilock huko watakuja tutawasaidia chakula na tusiwabague, ndani ya Afrika Mashariki na SADC tuko pamoja lakini kila Mtu ana njia zake za kutatua tatizo”



Kenyatta, Kagame & Museven’s mood
IMG_1589712022.826872.jpg
 
“Ugonjwa huu wa corona ni vita kama vita nyingine, wakati unaanza nilisema siwezi kuruhusu lockdown, imagine unafungiwa ndani hupati hata nafasi ya kuonana na mkeo? Unafungiwa ndani eti usitembee usiku kana kwamba corona inatembea usiku tu, nikasema hapana” -JPM
 
Back
Top Bottom