ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
si zinaletwa au pia hutaki zije electric bullet train 😂😂😂😂
si zinaletwa au pia hutaki zije electric bullet train 😂😂😂😂
Upo uwezekano Kenya inawaambukiza virus wakati Wa kuwapima au wanadanganyana huu ndio ukweli
hua nasema mm hakuna mtu asiekua na dhamana kama mkenya wanaroho mbaya sana hao jamaa ikiwa wao kwa wao ni maadui wakubwa itakua nje ya waoUpo uwezekano Kenya inawaambukiza virus wakati Wa kuwapima au wanadanganya
Send by APOLO 1
Moja kati ya bahati mby ni nchi kuwa jirani na kenya kijiografia.hua nasema mm hakuna mtu asiekua na dhamana kama mkenya wanaroho mbaya sana hao jamaa ikiwa wao kwa wao ni maadui wakubwa itakua nje ya wao



ni wachafu sana hawa jamaa
Me nlikuwa naangalia mashine nyuma paleJNHPP
Marine One sio?Me nlikuwa naangalia mashine nyuma pale
Wataachaje kuwa na roho mbaya wakati majority wanaishi kwenye slums. Kuishi tu kwenye zile slums za nairobi ni lazima mtu tayari anakuwa ameshaathirika kisakolojia hivyo roho mbaya automatically lazima awe nayo tu maana yale si maisha ya binadamu wa kawaida!hua nasema mm hakuna mtu asiekua na dhamana kama mkenya wanaroho mbaya sana hao jamaa ikiwa wao kwa wao ni maadui wakubwa itakua nje ya wao
Hebu compare
VS
ipi nginjanginja?
Electric bullet trainsi zinaletwa au pia hutaki zije electric bullet train![]()



shithole country!Ila nyie ndugu zetu burudani sana..😂😂😂
View attachment 1450226
Lazima tutawapima tu..Upo uwezekano Kenya inawaambukiza virus wakati Wa kuwapima au wanadanganya
Send by APOLO 1
hutaki tuwe wakwanza kumiliki😂😂😂