Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hahaa!!insha yote hii kumbe umeandika pumba tu, kwn unafikiria zile stesheni zimejengwa kw ajili ya kuhudumia miaka miwili mitatu..
Kisha bado una drag kw udogo na wakati mm siongelei hko...
Yani huoni kabisa mnajengewa vituko

Sent using Jamii Forums mobile app
Vituko gani we bi mdogo? Vituko ni kununuliwa na wachina hivyo vichwa vya mbogo vya karne ya 19 wakati tupo katika karne 21. Mchina kawafanya mazombi kwelikweli. Na kwa hiyo kujenga reli ambayo haitumii umeme ndio mmeangalia mbali au siyo? Ndio maana nakwambia mna akili za chag'aa I see!
 
Bado hamjielewi km mnataka nn

Sent using Jamii Forums mobile app
cq5dam.web.2000.2000.jpeg


VS

2a5f94c18f98146171c74b81804a2f54.jpg


unapaswa unyamaze mzee!
 
Vituko gani we bi mdogo? Vituko ni kununuliwa na wachina hivyo vichwa vya mbogo vya karne ya 19 wakati tupo katika karne 21. Mchina kawafanya mazombi kwelikweli. Na kwa hiyo kujenga reli ambayo haitumii umeme ndio mmeangalia mbali au siyo? Ndio maana nakwambia mna akili za chag'aa I see!
Unaongelea treni wakati hata kichwa kimoja hamna..
Halafu bado sijaona point ya msingi, ni kuhalalisha tu ndio unataka ili tuone kujengewa tofali halafu unaekeza singenge ni bora

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom