Walker255
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 4,884
- 12,949
Aki nimecheka leo😂😂😂😂
Aki nimecheka leo😂😂😂😂
Naona mnahangaika kutafuta ya nneNdo mana nkakuambia usichokoze moto utaungua vu..z ukabisha, yn nyie hakuna sehemu ambayo mtaishinda Tz hakuna![]()






Subutu, km ile ingine tu mliipiga rangi ya nyumbaMagu hapendi uharo![]()


umeridhika au bado😂😂😂😂Naona uliipost km ya 2018mbona unatumia nguvu nyingi ili tuwe sawa..
View attachment 1450349
Sent using Jamii Forums mobile app
nyingine hii hapa 2016 😂😂👇👇
Basi utakuwa mshambaNimecheka sana. Hawa jamaa kichwani kuna matatizo mengi kichwani


Mchina si mtu mzuri![]()
VS
![]()
unapaswa unyamaze mzee!
Ww leta machine km hii tukuelewe, Eurocopter H225 maamaeeBasi utakuwa mshamba
Kwn chopper huaga hazianguki, km zile zenu mbili mmezifungia chato kisa kubana matumizi zitaanguka wapi..
Chopper za kenya police zinapiga misele kote kote
Sent using Jamii Forums mobile app




Ww hii unavyoona ni rangi ya ndege hii, ndo mana zinadondoka kwa uzito, rangi ya bati mnapiga kwny ndege




Dude lina mapezi km papaMchina si mtu mzuri
Maneno ya khanga sitakiDude lina mapezi km papa


Hyo ndio attack helicopter yenuWw leta machine km hii tukuelewe, Eurocopter H225 maamaeeView attachment 1450363
Machine anayotumia Mike Pence, huku kwetu anatanulia PM hatuwezi kuwa sawa![]()



Nilijua tu lazima uumieeHyo ndio attack helicopter yenu
Jomba, we tulia tu km lile jiwe la chato
Sent using Jamii Forums mobile app


Yaani yametumika kwenye vita kuu ya dunia wao wakauziwa mwaka 2014Dude lina mapezi km papa