Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nixcie wapi baba???? Upo quarantine unapokea maumivu ya Jana? Au Leo bosi kakutaza kutumia simu ukiwa unalinda geti? [emoji23][emoji23]
Hawezi kurudi yulee kuna kauzi kao tumewaachia wanafarijiana kanaitwa Nairobi green shit in the slum[emoji3][emoji3]
 
Alafu wanakuja humu kuzungumzia Tz [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji3]

Tutaanza mgomo wetu Jumatatu iwapo serikali haitatekeleza mapendekezo yetu- Peterson Wachira
Screenshot_2020-05-14-15-38-50.jpeg
 
Hahahaaa!! Hzo ndio stesheni[emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo hizo ndio station za SGR yetu au wewe unataka ziweje? Sisi hatuna akili za matope kama nyie ambao mna-invest mahela kibao kujenga decorated stations maporini ambako abiria ni kiduchu badala ya hizo hela ku-invest kwenye electric trains. Sisi hela zetu nyingi tumeinvest kwenye electric trains badala ya kui-invest mahela kibao kwenye station hizo ndogo ndogo.

Kama mtataka kufanana na sisi (eletric trains) itawacost sana kuliko sisi itatucost fedha kidogo kulinganisha na nyie kama tukitaka kumodify hizi stations dongo kama tutaona kuna ulazima wa kufanya hivyo in future. Tunachohitaji kwa sasa ni performance nzuri ya railways zetu both SGR na MGR. (We think and Act Big)
 
Janga la taifa ni nini? na kwan mafuriko yakiua kuna mkono wa mtu, au ndio unafurahia...

Ujue haya hayana mipaka, leo huku kesho kule..

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli lakini muda mwingi munautumia kuishammbulia Tz na boder zake na kwamba hatujafanya lolote kuhusu lock down, sasa huo muda elekezeni kusaidia wahanga wa mafuriko na locusts kuliko kusubiri data za corona.
 
Ndiyo hizo ndio station za SGR yetu au wewe unataka ziweje? Sisi hatuna akili za matope kama nyie ambao mna-invest mahela kibao kujenga decorated stations maporini ambako abiria ni kiduchu badala ya hizo hela ku-invest kwenye electric trains. Sisi hela zetu nyingi tumeinvest kwenye electric trains badala ya kui-invest mahela kibao kwenye station hizo ndogo ndogo.

Kama mtataka kufanana na sisi (eletric trains) itawacost sana kuliko sisi itatucost fedha kidogo kulinganisha na nyie kama tukitaka kumodify hizi stations dongo kama tutaona kuna ulazima wa kufanya hivyo in future. Tunachohitaji kwa sasa ni performance nzuri ya railways zetu both SGR na MGR. (We think and Act Big)
Hahaa!!insha yote hii kumbe umeandika pumba tu, kwn unafikiria zile stesheni zimejengwa kw ajili ya kuhudumia miaka miwili mitatu..
Kisha bado una drag kw udogo na wakati mm siongelei hko...
Yani huoni kabisa mnajengewa vituko[emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa km naliona chata letu pendwa TRC afu chini lazima iwe na jina mfano utakuta moja imeandikwa OLDUVAI GORGE - HAPA KAZI TU[emoji3][emoji3][emoji3][emoji116][emoji116] the first electric train in the regionView attachment 1450004
hapa sasa mna tafuta kuwekewa vikwazo na jirani mbali na figisu vya korona 😂😂😂
 
Back
Top Bottom