Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ofcouse Ni upumbavu kafanya ofisi na hospitali ni mbingu na ardhi!

D5EJ2xgUYAAlb4g

Governor Mutua has accomplished more than Makufuli. 😂 😂 😂

mutua1.JPG
mutua2.JPG
mutua3.JPG
 
Hujaona alama ya ulizo hapo kwenye hiyo comment!
Jamaa alikua bado ana shauku na hyo comment yake, lkn ukitumia akili kidogo jinsi hzo pesa walivyozitoa utaelewa tu..

Huwezi pewa hela nyingi tu eti kisa mnapendwa, manake ukumbuke wenyewe wanataka hela yao mwisho wa siku na ukiangalia wanaopewa hzo hela %ya kukubali ipo juu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yn amenishangaza sn
Shangaa pia na huo ugawaji wa hzo hela
Nataka kuiona tanzania km ni nchi ya asali na maziwa kweli, kataeni tuwaone..
Mjue tayari mmeshapata mkopo wa elimu..yani mlitaka mpka kuuwa watu kisa mkopo

Na mkiendelea kukaa kimya yule kamanda wenu ataandika barua, jiwe ababaike tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli kabisa nilitaka kusema hili kwamba czani km hzo pesa zitakuwa za bure, ila cna shaka na Mkuu
Yes na pia hela uliyoomba...let us see next few weeks tujue..mimi kiukweli sitamani tuchukue hij hela natamani tutumie reserve zetu..feels like hii hela inaweza kusamehewa tukikubali chanjo zao(just conspiracy not valid proven info)
wizara ya fedha ilishatuma barua kuomba mkopo. hao IMF kila wiki board inakaa kikao kuapprove mikopo kwa nchi mbalimbali. nenda account yao ya twitter @IMFNews utaona
Dr. Abassi ameshasema fedha hizo zinamasharti ambayo serikali haiko radhi nayo.

 
Back
Top Bottom