Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Likoni road underconstruction,South C in the background
IMG_20200507_080505.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yes na pia hela uliyoomba...let us see next few weeks tujue..mimi kiukweli sitamani tuchukue hij hela natamani tutumie reserve zetu..feels like hii hela inaweza kusamehewa tukikubali chanjo zao(just conspiracy not valid proven info)

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabisa nilitaka kusema hili kwamba czani km hzo pesa zitakuwa za bure, ila cna shaka na Mkuu
 
inside kilimanjaro international airport
View attachment 1439586View attachment 1439587

KIA Terminal will remain my best Airport Terminal in EA, I like its simple, classic and cozy atmosphere. kuna siku nimekaa kwenye hiyo restaurant/bar nagonga vyombo hadi ndege kidogo iniache, yaani nilikuwa sitamani kuondoka. Ningeshauri Airports za kati kama Mwanza, Mbeya na zingine zote zingechukua hii design ndio ikawa standard Terminal Building.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
KIA Terminal will remain my best Airport Terminal in EA, I like its simple, classic and cozy atmosphere. kuna siku nimekaa kwenye hiyo restaurant/bar nagonga vyombo hadi ndege kidogo iniache, yaani nilikuwa sitamani kuondoka. Ningeshauri Airports za kati kama Mwanza, Mbeya na zingine zote zingechukua hii design ndio ikawa standard Terminal Building.


Sent from my iPhone using JamiiForums
Kwani wote tuna test sawa? How about uniqueness? Khaa wacha hiyo maneno wacha architects waweke ujuzi wao!
 
Tanzania haijaomba mkopo, JPM amekataa hio habari, amesema kama wako na nia nourri wafute madeni au riba ya mikopo ya nyuma then serikali zitumie hela za ndani zilizotakiwa kulipa mikopo ya nyuma kupambana na economic downturn as a result ya Covid-19.

JPM yuko vizuri upstairs, kwenye mambo ya hela hana tofauti na wayahudi🙂

 
OOOOH! Now I know you guys just love to compare yourselves with us, maybe to console yourselves that you are close. After we beat you in a thread you sensationally come up with another one, We are better than you in every possible way and you know it. Maybe this thread will make you happy for a moment but after several posts you will open another one. I am sure it is not your memory. We have like 10 threads already showcasing this things.
I have been to Mombasa, Nairobi and Kisumu and thought I was in the fourth world lol. By the way is Kenyan who started this stupid thread, pure childish.
 
Back
Top Bottom