Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,852
- 103,715
Mbona sioni construction yoyote? where is the construction board? labda kama ni repairLikoni road underconstruction,South C in the backgroundView attachment 1442314
Sent using Jamii Forums mobile app
Likoni ya wapi Mombasa ama Nairobi?Likoni road underconstruction,South C in the backgroundView attachment 1442314
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabisa nilitaka kusema hili kwamba czani km hzo pesa zitakuwa za bure, ila cna shaka na MkuuYes na pia hela uliyoomba...let us see next few weeks tujue..mimi kiukweli sitamani tuchukue hij hela natamani tutumie reserve zetu..feels like hii hela inaweza kusamehewa tukikubali chanjo zao(just conspiracy not valid proven info)
Sent using Jamii Forums mobile app
YahLabda tuchukue tuingize kwenye infrastructure projects like SGR for example!
kwanza barabara yenyewe umeona inavofanana 😂😂😂😂Mbona sioni construction yoyote? where is the construction board? labda kama ni repair
Kwani wote tuna test sawa? How about uniqueness? Khaa wacha hiyo maneno wacha architects waweke ujuzi wao!KIA Terminal will remain my best Airport Terminal in EA, I like its simple, classic and cozy atmosphere. kuna siku nimekaa kwenye hiyo restaurant/bar nagonga vyombo hadi ndege kidogo iniache, yaani nilikuwa sitamani kuondoka. Ningeshauri Airports za kati kama Mwanza, Mbeya na zingine zote zingechukua hii design ndio ikawa standard Terminal Building.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Bado Tanzania & Burundi
View attachment 1442142
Hivi huu mradi wa LNG ndiyo ule umekuwa ukizungunmzwa kwa muda mrefu na utakaogharimu $30B?
Vipi unaleta hoteli, nilidhani tulikuwa kwenye residential!? We vipi!?tumeenda mombasa sasa 😂😂😂😂 siwezi kukuletea dar wakat mwanza inakusubiri👇👇👇View attachment 1441884View attachment 1441885View attachment 1441886
View attachment 1441887
I have been to Mombasa, Nairobi and Kisumu and thought I was in the fourth world lol. By the way is Kenyan who started this stupid thread, pure childish.OOOOH! Now I know you guys just love to compare yourselves with us, maybe to console yourselves that you are close. After we beat you in a thread you sensationally come up with another one, We are better than you in every possible way and you know it. Maybe this thread will make you happy for a moment but after several posts you will open another one. I am sure it is not your memory. We have like 10 threads already showcasing this things.