ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
mm nakwambia kwenye suala la night clubs mutasubiri miaka 300😂😂😂I don't know what the guy is trying to mean, probably ni lighting, coz hiyo club yake ukitoa light, itabaki nothing.
mm nakwambia kwenye suala la night clubs mutasubiri miaka 300😂😂😂I don't know what the guy is trying to mean, probably ni lighting, coz hiyo club yake ukitoa light, itabaki nothing.
Achana tu na hizi!? Hamna lolote hapo kabisa.new maisha club dar😂😂👇👇👇View attachment 1443067View attachment 1443068View attachment 1443069View attachment 1443070View attachment 1443072
hamuwez kushindana na dar kwenye classic night clubs never ever 😂😂Taja kitu kimoja cha maana sana ama ambacho huwezi pata hata vijijini!? Huenda hatukuelewi!?
Ni taa
Ama grill
Ama ni viti!?????????







, umerudi nyuma?, ama ni vipicha ume google?., kuna kipindi mtu alileta hapa lorry za kuzoa taka mjini za kisasa akidai Kenya hazipo na mwingibe akaweka speed gun akisema mitambo kama hizo bado hazijafika Kenya, Kenya iliendelea mapema mbele ya nchi zikingine EAC (by African standards), vitu niliviona in the 90s., nikiwa primary., Ichoboy tembea wacha kusifu tu vya kwenyu ukifikiria ndio mwisho wa dunia



jamani mumeonawanjala utasubiri miaka 300 trust me View attachment 1443042View attachment 1443043View attachment 1443044View attachment 1443045View attachment 1443046View attachment 1443047View attachment 1443048View attachment 1443049View attachment 1443050View attachment 1443051View attachment 1443052View attachment 1443059View attachment 1443060
😂😂😂😂😂 leta ile F2 na carnivour ushuzi wa mendeAchana tu na hizi!? Hamna lolote hapo kabisa.
iliendelea kwa lipi nashangaa nchi iliondelea leo hii inarudi nyuma 😂😂😂😂 huwez kuendelea wakat 21st century munatumia treni za 19th century alaf useme umeendelea huo ni ushuzi wa bataInaitwa ushamba ama lack of exposure thinking "your mother's food is the best"
Nilidhani ulitaja mahali eti wewe club hauendangi, umerudi nyuma?, ama ni vipicha ume google?., kuna kipindi mtu alileta hapa lorry za kuzoa taka mjini za kisasa akidai Kenya hazipo na mwingibe akaweka speed gun akisema mitambo kama hizo bado hazijafika Kenya, Kenya iliendelea mapema mbele ya nchi zikingine EAC (by African standards), vitu niliviona in the 90s., nikiwa primary., Ichoboy tembea wacha kusifu tu vya kwenyu ukifikiria ndio mwisho wa dunia
Sent using Jamii Forums mobile app
magufuli anawakuna sana vichwa vyenu 😂😂😂😂 hamuna raha wala amaniSina hasira., covid19 iishe tutafutane., utafurahi sana, hapa ni mahali pa mjadala, opinions with facts kiasi na kutaniana, mtu wa hasira hapa atakimbia., hakuna kitu serious hapa at all.,
Sent using Jamii Forums mobile app



wacha nitulie iishe, tutalinganisha na double decker road from JKIA., tuone., malizeni barabara tufungue uzi ya comparison.,
hii ndio homa ya jiji kwa sasa hvi
View attachment 1443075View attachment 1443076View attachment 1443077View attachment 1443078
huwez sema iliendelea wakat leo munaonekana washamba 😂😂 leo mchina anawajengea reli na treni zimetumiaka miaka 50 nyuma alaf useme mumeendelea baada ya kuona mchina kawacharaza ikaonekana bora iishie machakani no way, leo hii mukiri kua mumerudi nyuma huku tano tena jubilee ikiua uchumi wa kenya 😂Inaitwa ushamba ama lack of exposure thinking "your mother's food is the best"
Nilidhani ulitaja mahali eti wewe club hauendangi, umerudi nyuma?, ama ni vipicha ume google?., kuna kipindi mtu alileta hapa lorry za kuzoa taka mjini za kisasa akidai Kenya hazipo na mwingibe akaweka speed gun akisema mitambo kama hizo bado hazijafika Kenya, Kenya iliendelea mapema mbele ya nchi zikingine EAC (by African standards), vitu niliviona in the 90s., nikiwa primary., Ichoboy tembea wacha kusifu tu vya kwenyu ukifikiria ndio mwisho wa dunia
Sent using Jamii Forums mobile app
hii ndio homa ya jiji hakuna east and central 😂😂😂👇👇👇👇👇Hii sawa ila, Dar haina mpangilio. Station ya Gari Moshi katikati ya jiji, a whole interchange katikati ya jiji dahhh!!!
Wabongo nyie mkianza kupata barabara kama za Nairobi hamtolala kabisa.
Yaani mkija kupata barabara zimepita pande zote kama hizi Nairobi, hamtolala
View attachment 1443081
View attachment 1443080
Nairobi hupata barabara mpya karibu kila weekend.
View attachment 1443082
hii ndio three level interchange ya kwanza east and central africa😂😂👇👇 naona ulikua huna taarifaMbona inakaa kienyeji hivyo?wacha nitulie iishe, tutalinganisha na double decker road from JKIA., tuone., malizeni barabara tufungue uzi ya comparison.,
Sent using Jamii Forums mobile app
Fikeni hapa kwnzHow many years do you think Tanzania will take to get such roads!?
View attachment 1443061View attachment 1443062View attachment 1443063View attachment 1443064








pole mko hovyo na hamjui., tunajaribu kuwaeleza tu, kubali ukweli.



iliendelea kwa lipi nashangaa nchi iliondelea leo hii inarudi nyumahuwez kuendelea wakat 21st century munatumia treni za 19th century alaf useme umeendelea huo ni ushuzi wa bata
nioneshe sehemu munajenga double deker road JKIA ukipata mm nafunga acc jamii forum😂😂😂😂😂Mbona inakaa kienyeji hivyo?wacha nitulie iishe, tutalinganisha na double decker road from JKIA., tuone., malizeni barabara tufungue uzi ya comparison.,
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio F2 ni K1 carnivore is not really a club.😂😂😂😂😂 leta ile F2 na carnivour ushuzi wa mende
We are in the process, hauna taarifa?nioneshe sehemu munajenga double deker road JKIA ukipata mm nafunga acc jamii forum![]()
kwakua hata BRT mulianza kujenga nyinyi😂 yani hua munajioma muko mbele kwa akili finyu lakini hua hamujui kua muko nyuma sana tena munazidi kurudi nyuma 😂😂 hvi ni nchi gani leo inaeza kukubaki kujengewa SGR ya miaka 100 iliopita nchi gani hata uganda wamekataa 😂😂😂😂....ulisoma vizuri?., (by African standards).., kuna vitu mnafanya kisa mnadhani sasa mko mbele ya Kenya lakini wapi., negative news by free n somehow liberal media za kwetu zinafanya mnadhani mko sawa kutushinda in comparison to your carefuly selected news reports, controlled by the propagandist regimepole mko hovyo na hamjui., tunajaribu kuwaeleza tu, kubali ukweli.
Sent using Jamii Forums mobile app
uhehehehehhe wanjala leo umenifurahisha sana uchafu gani unapost😂😂😂😂Sio F2 ni K1 carnivore is not really a club.
Club ni kama Space Lounge View attachment 1443097
Jibu kwa picha mkuuAchana tu na hizi!? Hamna lolote hapo kabisa.

