Unajisumbua tuu mkuu, wengi walikuja kwa style km yako na wakapita, yn hii thread ni moja kati ya threads bora humu Jf, imewazndua sn watu hasa Wakenya waliokuwa wanadhani WaTz wamelala ila wao wapo macho, kumbe vitu kwa Ground ni different, af ndg huu ushauri wako nadhani ungepeleka kwenye majukwaa mengine humu Jf, watu wanatukanana, wanatuma picha chafu, tofauti na humu, watu tunaelimika kupitia huu uzi, tunajua mambo yanavyokwenda nchini na nchi jirani, hv leo kuna mtu alikuwa haijui Dar lkn kupitia huu uzi kaijua, vivyo hivyo kwa Nairobi na maeneo mengine, hvyo ucpoteze mda wako bure, watu humu tupo makini zaidi ya unavyoweza kufikiri, ukiona jukwaa huna manufaa nalo nenda majukwaa mengine yapo mengi ndugu, zaidi ya hapo unatafuta shali na utalipata.