Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Pongezi, mumeondoa wangapi slums kwa sasa?., ๐Ÿ‘๐Ÿ‘๐Ÿ‘
tafuta slum kwenye google earth kama hii ukipata nitag๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡ ili nijue ww na mzungu nani anaakili
25B14FE2-E41E-4AF3-B2F8-E6011DAFC332.png
 
i see upper hill ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ au nimedanganya
Kila siku hapa unasema eti unajua Nairobi. Ni Nairobi gani unajua Kama hujui kwamba ukiwa Nairobi West unaona Upperhil yote? Nairobi West na Upperhil zimekaribiana kijana wa tandale so ukipiga picha ukiwa Nairobi West lazima itashika Upperhil, just the same way ukiwa Upperhil ni lazima camera ishike parts of Nairobi West if you are facing that side. This one below for example is a photo taken from uperhill but showing sections of Nairobi West
2319131_tapatalk_1582738761106.jpeg
 
tafuta slum kwenye google earth kama hii ukipata nitag๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡ ili nijue ww na mzungu nani anaakili
View attachment 1437707
Ukweli ni ule ule, Dar dwellers over 70%., kwa sasa kama vile taarifa ilinakili, ni slum dwellers., Kibera is what % ya Nairobi (populationwise)?.,pambana na hali yenyu (haswa yako).
 
imetuumbua vp na wakat imeshawaua 21 tayar hehehe 80% nairobi wanaishi slums kwenye mabanda ya nguruwe alaf unafungua ushuzi wako humu ndani๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ yani katika zunguka yangu sijawah ona mtu anaishi kwenye banda kama hayaView attachment 1437608
Wagoogle kwenye nchi zote za africa wanazoziita LDC waone kama kuna hayo mabanda ya nguruwe lakini wanaishi watu katikati ya jiji. Tena wengine asubuhi wanatoka kwenye hayo mabanda ya nguruwe wakiwa waamevalia suti utadhani wanatoka kulisha nguruwe kumbe ndiyo home kwao. ONLY IN NAIROSLUMS!
 
Back
Top Bottom