Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

[UOTE="ichoboy01, post: 35191739, member: 420069"]
ahahahaha mumemskia kilaza wa mwaka huu 2020 yani utumbo mtupu
Wewe ndio kilaza wa tandale, mkosa kazi., a blind patriot, mlamba ccm matako. Fungua macho.
Be safe lakini, usiorodheshwe[/QUOTE]Uo tunaita umalaya kuungilia maswala ya chama Cha nchi si yako Wala uijui

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anavyoongea utadhani kanchi kao kanauwezo huo
Unataka tusiwe na huo uwezo just because you don't? I always tell you that sio lazima tufanane. Uwezo tunao and very soon tutaanza kupima hadi zenu when you get overwhelmed
 
[UOTE="ichoboy01, post: 35191739, member: 420069"]
ahahahaha mumemskia kilaza wa mwaka huu 2020😂😂😂😂😂😂 yani utumbo mtupu
Wewe ndio kilaza wa tandale, mkosa kazi., a blind patriot, mlamba ccm matako. Fungua macho.😂😂😉😂
Be safe lakini, usiorodheshwe
[/QUOTE]
unataka ukweli gani mpuuzi wewe👇👇

 
What's the meaning of comfort btw, I give you the reason behind their jealous over our President, then u start lamenting here
Kwa hivyo kuongea ukweli ni kuonea Magu wivu? Wewe ni kama umelewa konyagi
 
Wewe ndio kilaza wa tandale, mkosa kazi., a blind patriot, mlamba ccm matako. Fungua macho.
Be safe lakini, usiorodheshwe
Unasikia maumivu yenu mjayamaliza

Sent using Jamii Forums mobile app
[/QUOTE]
yani wajinga kweli hawa jamaa lini tanzania ina muda wakufatilia kenya kwanza kenya kuna kipi tanzania ihangaike na wapuuzi 😂😂 magufuli kawakunja ipasavyo hawana hamu waneanza kufatilia mambo ya tanzania
 
Africa sehemu nyingi kuna maendeleo na projects kibao tofauti tofauti, wacha ignorance., nchi yako iko na shida zake, fruits ni hali duni ya raiya wake ukilinganisha EAC na SADC pia., wengi wenyu mko ovyo, angalia tu Dar es salaam pekee over 80% are merely existing and surviving, hawachaangi chochote kwa uchumi.
Ongelea Kenya ucongelee nchi za wengine, mm nmemeta projects za Tz, ss na ww lete za kenya uclete excuses hapa, zen leta ushahidi hapa kwmb over 80% ya wana DSM hawachangii chochote kwny uchumi wa nchi
 
UOTE="ichoboy01, post: 35191844, member: 420069"]
Weka na data ya Tanzania pia. Serikali yenyu haiweki mambo peupe, niliskiza wabunge wenyu wakikashifu JPM kwa kutokua mkweli hivi majuzi. Walikua wanasema atoke Chato (ni wapi huko?), arudi ikulu.., Chato ni bara kwa Mh. Magufuli
[/QUOTE]



👇👇👇👇👇👇👇
kwan jana hukuona wizara ya ya afya imesomwa na wametaja wagonjwa 480 waliopona 160 wanaoendelea vzr 292 na waliokufa 16 sasa unataka ukweli gani we mpuuzi nini
[/QUOTE]
CCM sio wakuaminika, nenda watete kwenye jukwa za Tanzania, pale naona wengi sio walamba ccm matako kame nyie wakujipendekeza kwa Kenyan news section..,
 
UOTE="ichoboy01, post: 35191844, member: 420069"]
Weka na data ya Tanzania pia. Serikali yenyu haiweki mambo peupe, niliskiza wabunge wenyu wakikashifu JPM kwa kutokua mkweli hivi majuzi. Walikua wanasema atoke Chato (ni wapi huko?), arudi ikulu.., Chato ni bara kwa Mh. Magufuli



👇👇👇👇👇👇👇
kwan jana hukuona wizara ya ya afya imesomwa na wametaja wagonjwa 480 waliopona 160 wanaoendelea vzr 292 na waliokufa 16 sasa unataka ukweli gani we mpuuzi nini
[/QUOTE]
CCM sio wakuaminika, nenda watete kwenye jukwa za Tanzania, pale naona wengi sio walamba ccm matako kame nyie wakunipendekeza kwa Kenyan news section..,
[/QUOTE]
unataka nini bado wewe😂😂😂👇👇👇

 
We
[daE="ichoboy01, post: 35191677, member: 420069"]


View attachment 1436589

Weka na data ya Tanzania pia. Serikali yenyu haiweki mambo peupe, niliskiza wabunge wenyu wakikashifu JPM kwa kutokua mkweli hivi majuzi. Walikua wanasema atoke Chato (ni wapi huko?), arudi ikulu.., Chato ni bara kwa Mh. Magufuli[/QUOTE]Hii thread imenifanya nifahamu kwmb Wakenya wana uwezo mdogo sana wa ku comprehend mambo.
 
Kwanini usiende kuongelea huo ukweli kuhusu nchi yako?

Yanini uangaike na Tz wakati kwenu kunawaka moto wa mabua ulio miminiwa petroli 😂
Sio mimi naongelea hayo mambo. Ni Watanzania wenzako so hasira zako elekeza kwao. Did you click on the link? It's your fellow Tanzanians talking
 
Locust
Cholera
Njaa
Corona
Halafu yupo busy kuinyooshea kidole Tz 😂
wizara yao inatumia 42m ksh kukodisha ambulance 16 wakat hio pesa inauwezo wakununua ambulance 15 brand new😂😂 hapo ndio utajua akili zao ziko wapi yani watu wanakula pesa za msaada live bila chenga
 
Unataka tusiwe na huo uwezo just because you don't? I always tell you that sio lazima tufanane. Uwezo tunao and very soon tutaanza kupima hadi zenu when you get overwhelmed
Malizeni tatizo hili kwnz

tapatalk_1588320761780.jpeg
 
Back
Top Bottom