Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mkiendekeza hizi propaganda za Kunyaland tutaishia pabaya! Kilichopo sasa ni vita vya kiuchumi baada ya Kunyaland kuona ikipoteza biashara ya kupeleka biashara nchi za Landlocked kwa hatua ilizochukua wakati Tanzania ikiamua kivingine! Hili la watu kufa Amana japokuwa inaweza kuwa ni Coronavirus haimaanishi huko Nairobi watu hawafi namna hiyo! Huko slums hali ni mbaya juzi tumeona wizara yao ya maji inajaribu kupeleka maji kwa emergency!
Kuna mtu atamzushia ndugu yake kifo kweli..
Endeleeni kuficha halafu mseme pumu wakati amana sai kunajulikana ni sehemu ya nn

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mtu atamzushia ndugu yake kifo kweli..
Endeleeni kuficha halafu mseme pumu wakati amana sai kunajulikana ni sehemu ya nn

Sent using Jamii Forums mobile app
kwan vifo havikuwepo kabla ya corona au magonjwa hayakuwepo kabla ya corona waty wanachoogopa sasa hvi ni kwamba mtu akifa lazma serekali ikamchukue kwa ajili ya vipimo ndio maana watu wanazika kimya kimya
 
Amana wagonjwa wa pumu watoke wapi na wakati walihamishwa tayari kumebaki wa corona tu..
Au unapingana na waziri wenu km amana pia bado kuna wagonjwa wengine

Sent using Jamii Forums mobile app
sio kila anaekufa ni corona musiliete upuuzi wakat kbla ya corona kulikua na vifo pia leo kifo kimekua kitu cha ajabu ???
 
huyo aliefariki jana alikuwa mzima, amepata shida ya kupumua siku mbili tu za nyuma jana ndo kafikiwa na umauti,

kama haijakutokea utaona kama ni utani, ila likikutokea ndo utaamini. mim mwenyewe nilikuwa naona ni utani
Mkuu hyo story yako bado hawatoielewa, mwisho watakuona ni km unaeneza propaganda..
So we tulia na ukwel wako tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom