Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

ni kweli lkn kuna namna watu wanapungua kwa kufariki kimya kimya, nina ndugu yangu anasema rafiki yake amefariki Amana jana, uchumi unaendelea vizur lkn tuhuthibiti huu ugonjwa, pia sisi wenyewe tujikinge kwa kuvaa masks kila siku
Mkiendekeza hizi propaganda za Kunyaland tutaishia pabaya! Kilichopo sasa ni kuchafuliwa na Kunyaland kutokana na vita ya kiuchumi baada ya Kunyaland kuona ikipoteza biashara ya kupeleka biashara nchi za Landlocked kwa hatua ilizochukua wakati Tanzania ikiamua kivingine! Hili la watu kufa Amana japokuwa inaweza kuwa ni Coronavirus haimaanishi huko Nairobi watu hawafi namna hiyo! Huko slums hali ni mbaya juzi tumeona wizara yao ya maji inajaribu kupeleka maji kwa emergency!
 
Back
Top Bottom