Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hahaaa!!sai slang imebadilika tena, sio mwakani tena imekua mwaka huu



Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe kichaa mwaka Jana ndiyo niliwaambia mwakani mkawa mnahesabu tarehe na kunikebei kuwa hakuna kitu ,tena niliwaambia kifo cha KQ ni mwezi wa NNE 2020 kila kitu kimetimia ,huu ndiyo mwaka nilio watabilia kwahiyo weka tako chini usubiri maumivu ya huu mwaka mwezi wa 8 mtalia na kusaga meno wakenya wote

Send by APOLO 1
 
Wewe kichaa mwaka Jana ndiyo niliwaambia mwakani mkawa mnahesabu tarehe na kunikebei kuwa hakuna kitu ,tena niliwaambia kifo cha KQ ni mwezi wa NNE 2020 kila kitu kimetimia ,huu ndiyo mwaka nilio watabilia kwahiyo weka tako chini usubiri maumivu ya huu mwaka mwezi wa 8 mtalia na kusaga meno wakenya wote

Send by APOLO 1
Ni mwaka huu mwezi wa nane tena
Zee la mwakani, mwaka huu, mwezi wa nane hujambo...
Naona wimbo unakuja vizuri huo, endelea na vina km hvyo km hvyo utakua the next diamond

Sent using Jamii Forums mobile app
 
That's how you lick your wounds here everyday. Don't fool us that all six million residents of Dar own houses. Danganganya wadanganyika wenzako. Wengi wenu including you are renting those squalors called dream houses
Heheheheheeee hasira pelekea jubilee
 
hii tv kama sio ya uhuru kenyata au ya serikali sidhan kama itabaki salama
50 in one day??
Nshampa dozi mpuuzi wao mwengne kule kwenye ule uzi hata hamu hana, eti 50 people na picha za hizo maiti czioni
 
The bad thing about u guy's is...after this whole thing and weakness u still have guts to point fingers to people here

Sent using Jamii Forums mobile app
LOL hunger makes you cook stones now 😅😅😅
EW6LPh7XQAIIx4C.jpg
 
these people are clowns 🤡

Aisee huu ni uuwaji! Imagine unaumwa unajipa moyo Isiolo Teaching n referral hospital ina facility unapelekwa huko badala ya a more deserving hospital only kuishia kufa as no ventilators available!
 
Back
Top Bottom