Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,919
- 103,791
Mchina anahusika kwenye hii mega project!Egypt wanatisha sanaView attachment 1436247View attachment 1436252
Sent using Jamii Forums mobile app
CSCEC EGYPT (@CSCEC_EGYPT) on Twitter
Mchina anahusika kwenye hii mega project!Egypt wanatisha sanaView attachment 1436247View attachment 1436252
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mjinga wao nimemdunga sindano kule, anaishia kuniita mm ni Geza kwny account nyngne, hehehehee yn anashindwa hata kudetermine tofauti ya muandikoNjaa haitaki mchezo.


Kenyan arid??? Wonders shall never end. Mnatafuta excuse za kizembe kweliVilaza ni hawa hapa sifa nyingi bado wanapewa msaada wa chakula, na muombe hili janga liishe la cvyo mtaumbuka sn, na hv mnavyotukela cjui mtapata wapi chakula cha huruma, maana cc ndio huwa tunawaonea huruma tunawauzia bei rahisi, but after this disaster mctegemee kuwa tutawapa chakula mijitu yny wivu na roho mby km nyie, mtaendelea kuomba mpk mtaolewa
Ukiona hivo ujue kuwa na account mbili mbili jf ni tabia yao 😂😂😂Kuna mjinga wao nimemdunga sindano kule, anaishia kuniita mm ni Geza kwny account nyngne, hehehehee yn anashindwa hata kudetermine tofauti ya muandiko![]()
Msosi unaingia kenya nzima huoKenyan arid??? Wonders shall never end. Mnatafuta excuse za kizembe kweli
kitochi


Is that how you comfort yourself? So there's nothing wrong with posting tall buildings ten times a day but there's a problem with reposting houses!Houses are completely different from skyscrapers
hii tv kama sio ya uhuru kenyata au ya serikali sidhan kama itabaki salama
50 in one day??
Nani amekufa Isiolo kutokana na corona? Hivyo ndivyo unavyojipa matumaini?Aisee huu ni uuwaji! Imagine unaumwa unajipa moyo Isiolo Teaching n referral hospital ina facility unapelekwa huko badala ya a more deserving hospital only kuishia kufa as no ventilators available!
kwann museme uongo lini tanzania ikawa na time na kenya 😂😂😂 tatizo lenu nyinyi munawivu na tanzania na this time kuna chuma kipoMedia houses za kwenu kama zinafinywa sehemu nyeti na sisiemu wasitoe habari kwa wananchi our media houses will do it for you. The chickens will come home to roost soon 😂 😂 😂
Tanzania nchi ya viwonder ni kitu ya kuonea wivu??? 😂 😂 tangu lini?kwann museme uongo lini tanzania ikawa na time na kenya 😂😂😂 tatizo lenu nyinyi munawivu na tanzania na this time kuna chuma kipo
chato kuna ikulu usisahau hio na chato ni sehemu ya tanzania 😂😂😂 tuliza kipapaWabongolala wapumbavu kabisa!!...mtu anawambia mchape kazi kisha yeye anajifungia chato
Sent using Jamii Forums mobile app
tanzania inawanyima usingizi😂😂😂 sikieni vijana wamombasa wanamuomba magufuli aje kuwasaidia 👇👇👇👇👇👇Tanzania nchi ya viwonder ni kitu ya kuonea wivu??? 😂 😂 tangu lini?
Zanzibar fast ferries' Zanzibar 2 testing
Waanze kufikiria route za Mombasa from Dar via Zanzibar! Nina uhakika wale wa SGR Nairobi-Mombasa wataunganisha kwenda Zanzibar na fast ferries!itaichukua kenya miaka 300 kufika hapo😂😂😂😂