Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 20,607
- 15,709
Ni wapi imeandikwa kwamba Kenya iliomba Mahindi? Utaombaje kitu kisha tena uuziwe? Unayemuomba atakupa tu kwa roho safi bila ya kuitisha pesa kwa sababu ni maombi, jinsi tunavyowafanyia wale omba omba wenu waliojaza mitaa na barabara zetubaada ya kuomba msaada kua muna njaa musingekua na njaa musingeomba ๐๐๐ yani hata kuomba kuuziwa ni msaada pia kwasababu tuna hiyar ya kutowauzia na mukafa njaa vile vile


