The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Alafu wako hapa kushindana na TzYaani SGR inaweza kujengwa na zao LA korosho pekee.



Alafu wako hapa kushindana na TzYaani SGR inaweza kujengwa na zao LA korosho pekee.



Watashindana lakini hawatashindaAlafu wako hapa kushindana na Tz![]()
Wataweza wapi li nchi tajiri km hili, chini ya jemedari capitalist Magu #HAPA KAZI TUWatashindana lakini hawatashinda


So mnangoja siku ya bajeti ndio wananchi waambiwe ukweli kuhusu yale yanayoendelea ndani ya nchi yenu? Mbona vyombo vyenu vya habari hayazungumzii kiuwazi?kesho ni bajeti ya wizara ya afya, updates zote za corona zitatolewa kesho! ila bado nina wasiwasi hali si nzuri
Achana na Midanganyika, they can't think beyond their nosesHehehe thats an international airline bana sii hii yenyu local hapo, tou have to get cabin crew from different countries to cater for non english speakers i.e. asians, ama hujui why emirates, Qatar employ cabin crew all over the world?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sikiza ww jamaa, usipotoshwe na habari za uongo mitandaoni dhidi ya ugonjwa wa corona Tz, ukweli ni kwamba huo ugonjwa upo lkn c kwa kiwango hcho unavyodhani, waliopata ni mmoja mmoja sn kwny mitaa, yn hao waliopo huko mahospitalini na quarantine wakisema warudi makwao utagundua kwamba kuna mitaa itakuwa haijaguswa kabisa na covid-19 amini hvyo, yn Kenya mmeathirika sn na huo ugonjwa kuliko Tz, yn km ilivyo kwa locust invasion, hujiulizi mbn Tz hatujaathirika na locust wakati kwenu wamejibadili mpk rangi wanaanza kutumia rangi ya bendera ya kenya (mjinga atakuja na kusema usifananishe locust na covid-19 mm namjibu kwmb janga ni janga tu)So mnangoja siku ya bajeti ndio wananchi waambiwe ukweli kuhusu yale yanayoendelea ndani ya nchi yenu? Mbona vyombo vyenu vya habari hayazungumzii kiuwazi?





Wanajikuta wajuaji kumbe hakuna kitu 😂😂😂Komora bhn eti bila kuogopa anasema wao wametengeneza hyo game mda mrefu, wkt hata SA wnyw bado, inshort map ya Afrika ya ets2 bado na km WaTz watafanikiwa nadhani inakwenda kuwa ya kwanza kwa Afrika.
Naona wanaharakati wengine wanatumia picha za ebola halafu wanasema ni za Tz 😂😂😂Sikiza ww jamaa, usipotoshwe na habari za uongo mitandaoni dhidi ya ugonjwa wa corona Tz, ukweli ni kwamba huo ugonjwa upo lkn c kwa kiwango hcho unavyodhani, waliopata ni mmoja mmoja sn kwny mitaa, yn hao waliopo huko mahospitalini na quarantine wakisema warudi makwao utagundua kwamba kuna mitaa itakuwa haijaguswa kabisa na covid-19 amini hvyo, yn Kenya mmeathirika sn na huo ugonjwa kuliko Tz, yn km ilivyo kwa locust invasion, hujiulizi mbn Tz hatujaathirika na locust wakati kwenu wamejibadili mpk rangi wanaanza kutumia rangi ya bendera ya kenya (mjinga atakuja na kusema usifananishe locust na covid-19 mm namjibu kwmb janga ni janga tu)View attachment 1434318
Naona wanaharakati wengine wanatumia picha za ebola halafu wanasema ni za Tz![]()

utayaona mengi tu, ila mwisho wataumbuka tu mambo yatakaa sawa.Wewe chuki zako tumezizoea. Sio mimi nilipost hiyo video bali ni mtanzania mwenzako so elekeza hasira zako kwake, si kwangu. Zitakuwaje ni habari za uongo wakati tunaona vizuri sana kuna mtu amekufa and he's being handled the way Covid-19 victims are handled? Kuna hadi wanaozikwa usiku wa manane ili tu msijue kinachoendelea ndani ya nchi yenu. For how long will you people live in denial?Sikiza ww jamaa, usipotoshwe na habari za uongo mitandaoni dhidi ya ugonjwa wa corona Tz, ukweli ni kwamba huo ugonjwa upo lkn c kwa kiwango hcho unavyodhani, waliopata ni mmoja mmoja sn kwny mitaa, yn hao waliopo huko mahospitalini na quarantine wakisema warudi makwao utagundua kwamba kuna mitaa itakuwa haijaguswa kabisa na covid-19 amini hvyo, yn Kenya mmeathirika sn na huo ugonjwa kuliko Tz, yn km ilivyo kwa locust invasion, hujiulizi mbn Tz hatujaathirika na locust wakati kwenu wamejibadili mpk rangi wanaanza kutumia rangi ya bendera ya kenya (mjinga atakuja na kusema usifananishe locust na covid-19 mm namjibu kwmb janga ni janga tu)View attachment 1434318
Tulia dawa iingie, laana nyingine hii hapaWewe chuki zako tumezizoea. Sio mimi nilipost hiyo video bali ni mtanzania mwenzako so elekeza hasira zako kwake, si kwangu. Zitakuwaje ni habari za uongo wakati tunaona vizuri sana kuna mtu amekufa and he's being handled the way Covid-19 victims are handled? Kuna hadi wanaozikwa usiku wa manane ili tu msijue kinachoendelea ndani ya nchi yenu. For how long will you people live in denial?
Alafu Kenya imeathirika sana kivipi? Kenya has 374 cases, Tanzania has 300 cases with more active cases than Kenya na watu wameanza kufa hadi majumbani. So nani ameathirika zaidi? Tumia akili, don't let emotions run your mind





LOL mambo ya ujenzi mbali sanaNaona umekuja pazuri kweli, uliza watu wa mipakani ndipo utapata jibu..
Au peleka hii mada section ya tanzania uone vile utakula za uso..
Eti mafundi tanzania wanakula hela nzuri kuliko kenya
Sent using Jamii Forums mobile app
Mambo hadharani tu, hakuna kuficha, ss ngj na wao walete updatesWale waliokuwa wanalalamika Kwanini hawajatangaza hizi siku mbili tatu haya sasa tangazo lenu hili hapa.


Na hapo wamesema ni kuanzia tarehe 23 hadi jana ila media zao zitaripoti kuwa hivo visa ni vya siku moja 😂😂😂Mambo hadharani tu, hakuna kuficha, ss ngj na wao walete updates![]()
Wana chuki snNa hapo wamesema ni kuanzia tarehe 23 hadi jana ila media zao zitaripoti kuwa hivo visa ni vya siku moja![]()



Uyo jamaa alipigwa sn akakosa hamu kabisaJf vitasa,
Twitter vitasa,
Yaani ni mwendo wa vitasa


