Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Azam sidhan kama anaagiza bidhaa nje na kuiweka brand yake kweny hizo bidhaa. METL kuna baadhi ya bidhaa ambazo anachukue nje na kuzileta ndan na kuweka brand yake. Sio kila kitu cha METL kimezalishwa hapa nchini (thou ni vichache ndo vinatoka nje)
wacha kujidanganya over 90% ya Azam wheat inatoka nje though amekuwa kwenye biashara ya wheat milling longer than METL! Na believe me METL is the largest agricultural land owner in Tanzania na ukiangalia investment anayofanya kwenye palm oil na sunflower plantations, ana chance kubwa in the near future! As far as agroprocessing is concerned, so far METL is doing better than Azam as far as locally input for all of his tea and sisal products is concerned, the raw materials r 100% sourced locally!

As far as electro appliances there's no way u can avoid importing equipments with time that will go down! Hata major global producers wa electroproducts in the West wana-import the parts from China ambapo wame-specialize kwenye hilo! These r stuffs that need indepth research n in my opinion i see METL to be venturing well into these other new avenues! BTW Bakhresa had to wait till Magufuli gave them free land in Bagamoyo to invest in sugar plantation!

Sorry ichoboy01 huwezi kuni-convince ati Bakhresa anafanya vizuri zaidi ya METL!
 
Mto serikali inatakiwa kuuwekea kingo. Mto uko town huwezi kuuacha kama huko maporini
hapana watu wanatakiwa wasifinye mto wauache upite njia yake la sivyo matokeo yake ni kuharibu miundombinu.

Soon hapo maji yatakatiza juu ya daraja pale Selander kama yanavyokatiza juu Jangwani creek baada ya DART kuweka depot na wengine Mchikichini na Jangwani ku-reclaim land kwa kuweka kingo!

Na wenye nyumba upande wa Al Muntazir lazima maji yanaingia majumbani! Ukiwa una knowledge ya fluids dynamics utaelewa ninachosema!

Ujenzi wa namna hii kwa hii jetty ya Slipway si sawa! Unazuia waterflow!

2371995_dar_es_salaam_tcm36-44053.jpg
 
Kumbe unatuombea tupate visa vingi!
Ulijificha naona umeamua kujionesha wazi wazi 😂
Halafu aliyekuambia hatupimi nani!
Nyinyi mnatuombea mazuri? Angalia nyuzi za Joto la jiwe kisha urudi tena
 
Nyinyi mnatuombea mazuri? Angalia nyuzi za Joto la jiwe kisha urudi tena
Kwa hiyo kumbe joto la jiwe akifungua nyuzi kuonesha ujinga na uzembe unaofanyika Kenya ni anawaombea mabaya 😂
Embu angalia ujinga unaoandika hapa kisha soma nyuzi zake,
Nitolee cheap comment kutoka kejani,
Sina muda wa kubishana na mbumbumbu.
 
Mh mzee inategemea unaongelea nn? Kwa biashara ya electro appliances, mafuta ya kupikia, sabuni na textile METL yupo juu! METL ana the largest oil and fats, textile, sisal products, electroproducts infrastructure in EA, way more superior than that of Azam! Angalia depot zake pale bandarini!

Kwa biashara ya vinywaji na nafaka (yaani dairy, food and milling), real estate, sukari (soon) na logistical services (sea transport as haulage METL is also big there) provision, Azam yupo juu! Ila kila mmoja kaingilia biashara ya mwenzie! Ningependa kuona Azam anaingia kwenye biashara kama za boat construction (wameshatengeneza zaidi ya 10 overseas) au cars assembly! Ukizingatia kuna investment kubwa ($30 bln) kwenye gas business inakuja!

Naona METL anaelekea huko so far ni largest supplier wa local assembled tractors, bajajs n motorcycles! Soon ataingia kwenye magari!

oils_fats_banner.png







lakini bakhresa ana biashara nyingi sana bro alaf akianzisha biashara hua inakua biashara kweli kweli 😂😂😂
 
lakini bakhresa ana biashara nyingi sana bro alaf akianzisha biashara hua inakua biashara kweli kweli 😂😂😂
Then let them do n go into locally ship assembly (they have advantage here) electro appliances na si Biashara za uchuuzi ushindani mkubwa!

So far METL group is largest in East and central in turnover, largest imployer n pays more tax than Bakhresa group! Kwangu mimi Biashara za METL group zina future nzuri!
 
hapana watu wanatakiwa wasifinye mto wauache upite njia yake la sivyo matokeo yake ni kuharibu miundombinu.

Soon hapo maji yatakatiza juu ya daraja pale Salender kama yanavyokatiza juu Jangwani creek baada ya DART kuweka depot na wengine Mchikichini na Jangwani ku-reclaim land kwa kuweka kingo!

Na wenye nyumba upande wa Al Muntazir lazima maji yanaingia majumbani! Ukiwa una knowledge ya fluids dynamics utaelewa ninachosema!

Ujenzi wa namna hii kwa hii jetty ya Slipway si sawa! Unazuia waterflow!

2371995_dar_es_salaam_tcm36-44053.jpg
Kama ni kujengwa kingo zinajengwa kutoka mahali ambapo mto unaingia kwenye makazi, na kingo huzuia side-erosion na hivyo mto unabaki tu na erosion at the bottom. Tofauti na kuuacha uwe unasambaa kwa sababu kutarundikwa mchanga kwenye bottom coz nguvu ya erosion inakuwa inapungua maji yakisambaa
 
Kama ni kujengwa kingo zinajengwa kutoka mahali ambapo mto unaingia kwenye makazi, na kingo huzuia side-erosion na hivyo mto unabaki tu na erosion at the bottom. Tofauti na kuuacha uwe unasambaa kwa sababu kutarundikwa mchanga kwenye bottom coz nguvu ya erosion inakuwa inapungua maji yakisambaa
Huelewi nachoongea! mimi napinga ujenzi wowote wa kupunguza upana asilia wa mto/stream! wakati wa ujenzi daraja lililopo la Selander jengo nililoanisha halikuwepo radius ya mto imeendelea kupungua siku baada ya siku na si sawa maana ina-force kina cha maji kuongezeka na kupelekea kuzoa madaraja! Tunaona pale Jangwani kinachotokea!

Plse try to know fluid dynamics kingo zina-protect nyumba ila hazi-protect structures kama madaraja lower streams! Tunaongea vitu wiwili tofauti! Mimi napinga ujenzi wa namna hii kwa vile una madhara mabaya kwa miundombinu ya jamii!
 
Mto serikali inatakiwa kuuwekea kingo. Mto uko town huwezi kuuacha kama huko maporini
Kwa hiyo serikali iache miradi ya SGR iende kujenga kingo kwa sehemu ya mto iliyovamiwa na watu kwa maslahi binafsi? Mimi nashauri uvunje zile nyumba pale! kama unajenga ghorofa lile unashindwa nini kuenda Kigamboni na kununua ardhi iliyo mbali na mto?

 
Back
Top Bottom