Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwa hiyo serikali iaache miradi ya SGR iende kujenga kingo kwa sehemu ya mto iliyovamiwa na watu kwa maslahi binafsi? Mimi nashauri uvunje zile nyumba pale! kama unajenga ghorofa lile unashindwa nini kuenda Kigamboni na kununua ardhi iliyo mbali na mto?
😂😂😂hilo ni kosa la serikali kuachia ujenzi wa makazi holela, kama imeshindwa kuwaondoa lazima iwalinde kwa kujenga kingo, 🙌
 
Dar es Salaam will never see.
Nairobi Kenya
View attachment 1423337

30970523181_b63f4c9d99_o.jpg


30942339222_bf646979a1_o.jpg



32700177501_3534820841_o.jpg


32238024743_0cd3f926b2_o.jpg




Sent using Jamii Forums mobile app
 
😂😂😂hilo ni kosa la serikali kuachia ujenzi wa makazi holela, kama imeshindwa kuwaondoa lazima iwalinde kwa kujenga kingo, 🙌
si mbele ya serikali ya Jiwe! Ukileta ujenzi unaoleta uharibifu kwa miundombinu anayojenga lazma a-deal nawe!
 
Iringa ni uswazi tupu hadi huwezi tofautisha CBD na slums za makazi,Arusha at least iko na Cbd but thika inaichapa
Ebu pekua huko nyuma kwenye huu Uzi huo mjadala tulimaliza na Thika yako haikufua dafu mbele ya iringa 😂😂😂
 
Kufikia 2025 Nairobi itajiuliza sana juu ya Dar es Salaam,Project zote hizi ziko kwny pipeline.New Salender Bridge na barabara zake,Ubungo interchange, barabara ya bamaga-shekilango,Mwenge-Morocco project, stendi ya Mbezi Luis,barabara 8 ubungo-mbezi-kibaha,SGR project,DMPD project,Mzimbazi basin project,Expansion ya Bandari, BRT phase 2 mpk 5 na overpass zake(interchange),Mfaransa ameshaanza kuonyesha interest BRT phase 5 ametuma na team kbs kwa ajili ya kutathimini.Kazi ipo my take,Wakenya wanawekwa kwny hali ya matumaini na wanasiasa wao wanachezewa kama watoto,na wao huwa wanafurahiii ,Project ngapi hapa amekuja nazo mpk uzinduzi umefanyika mwisho wa siku ni mchezo wa siasa.Yaani mimi ningekuwa mkenya ningesubiri kitu kikamilike ndo nichekelee.Usanii umezidi.Wallah.
DART | News
 
Kufikia 2025 Nairobi itajiuliza sana juu ya Dar es Salaam,Project zote hizi ziko kwny pipeline.New Salender Bridge na barabara zake,Ubungo interchange, barabara ya bamaga-shekilango,Mwenge-Morocco project, stendi ya Mbezi Luis,barabara 8 ubungo-mbezi-kibaha,SGR project,DMPD project,Mzimbazi basin project,Expansion ya Bandari, BRT phase 2 mpk 5 na overpass zake(interchange),Mfaransa ameshaanza kuonyesha interest BRT phase 5 ametuma na team kbs kwa ajili ya kutathimini.Kazi ipo my take,Wakenya wanawekwa kwny hali ya matumaini na wanasiasa wao wanachezewa kama watoto,na wao huwa wanafurahiii ,Project ngapi hapa amekuja nazo mpk uzinduzi umefanyika mwisho wa siku ni mchezo wa siasa.Yaani mimi ningekuwa mkenya ningesubiri kitu kikamilike ndo nichekelee.Usanii umezidi.Wallah.
DART | News
Kule Kunyaland second single track is to be released by Handshake n goes by the name Uhuru tano tena!

#Akilizahandshake#

CC: Zigi Rizla Kafrican Depay Teargass Tony254 pingli-nywee komora096 Edward Wanjala kikihboy
 
Back
Top Bottom