Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mt Kenya as seen from Longido
2371317_tapatalk_1586956068766.jpeg


#Akilizahandshake#

CC: Zigi Rizla Kafrican Depay Teargass Tony254 pingli-nywee komora096 Edward Wanjala kikihboy
 
hapana watu wanatakiwa wasifinye mto wauache upite njia yake la sivyo matokeo yake ni kuharibu miundombinu.

Soon hapo maji yatakatiza juu ya daraja pale Selander kama yanavyokatiza juu Jangwani creek baada ya DART kuweka depot na wengine Mchikichini na Jangwani ku-reclaim land kwa kuweka kingo!

Na wenye nyumba upande wa Al Muntazir lazima maji yanaingia majumbani! Ukiwa una knowledge ya fluids dynamics utaelewa ninachosema!

Ujenzi wa namna hii kwa hii jetty ya Slipway si sawa! Unazuia waterflow!
Screenshot_2020-04-19 BRIGEDIA Mstaafu wa Jeshi Anavyoteswa na MAFURIKO, Amuomba Msaada RAIS M...png
Screenshot_2020-04-19 BRIGEDIA Mstaafu wa Jeshi Anavyoteswa na MAFURIKO, Amuomba Msaada RAIS M...png

Mbweni Teta.
 
Back
Top Bottom