Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚View attachment 1422883
Ilala kwa ground πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ”«πŸ‡ΉπŸ‡Ώ
images - 2020-04-18T201208.611.jpeg
 
Huyo kilaza mwenzako huwa kiingereza inamlemea kila siku. Tell any difference between these two pictures. Look at the road patterns and even the yellow part that I have circled, what looks like warehouses View attachment 1422880View attachment 1422882
hebu tuoneshe vzr hapo hakuna ujanja humu ndaniπŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
D63003F8-5263-4C21-91E7-0DE950405932.jpeg
 
Ushamkamata tayari [emoji3][emoji3][emoji3] hawa jamaa huwa wanatengeneza picha mradi tu wajifurahishe, ona ss ulivyomdaka anatia hata huruma [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
ngoja leo atuoneshe anasema yeye anaakili kuliko mzunguπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ kwamba mzungu kuona slum nairobi na hakuziona dar ni kwamba hana akili
 
kwan kuna mkenya aneitakia tanzania maendeleo ?? bro adui wakwanza tanzania ni mkenya mark my words
Na nnachofurahi mkuluwole anajua hilo na analifanya kivitendo co km watangulizi wake walikuwa wanajua lkn utanzania ulikuwa unawaponza
 
Na nnachofurahi mkuluwole anajua hilo na analifanya kivitendo co km watangulizi wake walikuwa wanajua lkn utanzania ulikuwa unawaponza
kuna kipindi kikwete aliiua kq kisaikolojia baada ya kuzuia magari ya tanzania ya watalii pale jomo kenyatta na kikwete akapunguza safar za kq tanzania hapo ndipo loss ilipoanza kuwatafuna sasa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Back
Top Bottom