Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Phenom estate
images-30.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwisha habari yako[emoji3][emoji3]0[emoji3][emoji3]
Ona wenzako wanavyofanyiwa, nakusihi tena..ole wako uje mombasa halafu uanze hzo story mbele ya wanaume[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]

Mwanamume Shoga ashambuliwa na kujeruhiwa vibaya
MWANAMUME anayeshukiwa kujihusisha na ushoga anauguza majeraha katika Hospitali Kuu ya Pwani, Mombasa baada ya watu wasiojulikana kujaribu kumuua katika eneo la Kizingo.
Akiongea kwa niaba ya msimamizi mkuu wa hospitali hiyo, Bw Bernard Mwero alisema mwathiriwa, Samuel Karanja, alijeruhiwa vibaya shingoni na kwenye kichwa.
“Aliletwa akiwa hali mahututi ikabidi afanyiwe upasuaji ili kuokoa maisha yake, amepata nafuu kidogo” alisema Bw Mwero.
Akithibitisha kisa hicho, afisa mkuu wa eneo la Mombasa, Bw Kipkemboi Rop, alisema mshukiwa alishambuliwa na watu wasiojulikana katika mtaa wa Kizingo katikati mwa mji wa Mombasa usiku wa manane.
Bw Rop alisema polisi wanaendeleza uchunguzi ili kubainisha madhumuni ya kutekeleza shambulizi hilo.
Aliwaonya wakazi wa Mombasa dhidi ya kuwavamia au kuwashambulia mashoga, wasagaji na masenge akisisitiza kuwa wana haki kama Wakenya wengine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ona wenzako wanavyofanyiwa, nakusihi tena..ole wako uje mombasa halafu uanze hzo story mbele ya wanaume[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]

Mwanamume Shoga ashambuliwa na kujeruhiwa vibaya
MWANAMUME anayeshukiwa kujihusisha na ushoga anauguza majeraha katika Hospitali Kuu ya Pwani, Mombasa baada ya watu wasiojulikana kujaribu kumuua katika eneo la Kizingo.
Akiongea kwa niaba ya msimamizi mkuu wa hospitali hiyo, Bw Bernard Mwero alisema mwathiriwa, Samuel Karanja, alijeruhiwa vibaya shingoni na kwenye kichwa.
“Aliletwa akiwa hali mahututi ikabidi afanyiwe upasuaji ili kuokoa maisha yake, amepata nafuu kidogo” alisema Bw Mwero.
Akithibitisha kisa hicho, afisa mkuu wa eneo la Mombasa, Bw Kipkemboi Rop, alisema mshukiwa alishambuliwa na watu wasiojulikana katika mtaa wa Kizingo katikati mwa mji wa Mombasa usiku wa manane.
Bw Rop alisema polisi wanaendeleza uchunguzi ili kubainisha madhumuni ya kutekeleza shambulizi hilo.
Aliwaonya wakazi wa Mombasa dhidi ya kuwavamia au kuwashambulia mashoga, wasagaji na masenge akisisitiza kuwa wana haki kama Wakenya wengine.

Sent using Jamii Forums mobile app
The meaning of MOMBASA [emoji116][emoji116]

Most Of Male Being Actively Sodomized Area.
 
Mt kilimanjaro itabaki kuwa tanzania kwa kipindi chote hadi mwisho wa dunia
Hahaaa!!unachange gear, endelea kuumia tu lkn ukwel ytabaki pale pale km mt kilimanjaro unaonekana kutoka nairobi

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuonekana huko nairobi haiwezi kuamisha mlima kwenda kenya

Mnautamani sana mt kilimanjaro njoeni muuchukue

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom