Naton Jr
JF-Expert Member
- Oct 5, 2016
- 7,866
- 19,252
LOL density iliopo kariakoo ni Kenya +Uganda +Rwanda + Burundi and yet not enoughNiliwambia posta,kariokoo na upanga unazipata huku mitaani bila tabu yoyote
Sent using Jamii Forums mobile app
LOL density iliopo kariakoo ni Kenya +Uganda +Rwanda + Burundi and yet not enoughNiliwambia posta,kariokoo na upanga unazipata huku mitaani bila tabu yoyote
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaaa!![emoji3][emoji3][emoji3] duuhh old version
Hahaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Eti stendi [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Huo nao uwanja wa kuuleta hapa kujisifia
Za Dar 2020 ndio hizi hapaohhh kumbe za 90s mwambie ndugu yako atafute za 2020 za dar😂😂😂
Wacha nimuongeze na hii pia ya Ngara
Huku wenye ndege zao wanataka hesabu, yaani KQ ni kama mshkaji aliechukua bodaboda ya mkataba. labda wakalielie mabosi wao wawahurumie kutokana na coronabado ya majirani sasa dunia itageuka😂😂😂
Stupid as alwaysso umiliki hauna maana kwenu sindio maana loss haitaisha kq mpaka yesu ashuke😂😂😂
Leseni zinafutwa kwa wavunja sheria.Umeeleza na wakati sai serekali imeshaanza kutishia kufutia leseni watu
kapigwa electric shock! 😀 😀 😀 ☝☝kashachemka kachungulia kaona moto katoa uso haraka😂😂👇👇👇View attachment 1422007
Imebaki sasa mnarushiana matusi!!! 😂 😂 😂 Hata mimi pia Nilicheka hiyo statement yake kuhusu mkulima. Kama ni kweli basi hiyo ni kisingizio tu, ukweli ni kwamba ATCL ilishindwa kuhimili ushindani kwenye ile route. They had to throw in the towel sooner than expected. Hadi leo kuna baadhi wenu hapa ndani ambao bado wanasingizia machafuko as the only reason ATCL hasn't resumed flights to SAKwani nani kasema hawaendi kisa mkulima?
Acha kujitengenezea conspiracies za kipumbavu, kuna statement official kutoka ATCL inasema hivyo?
Hawa walishindwa na biashara. Hizi ni visingizio tu wanatumia.
This is officially the ugliest gated community I have ever seen