Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sio kw wavunja sheria, usinione ni km sikuisoma hyo habari..
Leseni zitafutwa kw wasiopunguza bei, sasa wewe utaanzaje kumwambia mtu apunguze bei wakati hujui chanzo ni nn...

Wafanyibiashara wana chama chao, sasa ilitakiwa wafuatilie km soko linaendaje kwanza wala sio mihemko ya kisiasa

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe unaijua Tanzania kuliko viongozi wa serikali?
 
Oak park
images-20.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na ndicho kitu huwa najisemea moyoni asante sana mkuu leo umenisemea, yn kuna maeneo kibao ya kushangaza na estate kibao nazijua ila hazijawahi kupostiwa hapa wao washamaliza ila naamini cku zinavyosonga wataelewa tu Dar maana yake nini
Sehemu kibao sana mkuu hazijapostiwa humu.
 
Naona nshawafukuza na saizi wameenda kugoogle kuona kweli auu [emoji3][emoji3] hawa jamaa ni wajinga mno yn cku wakiujua ukweli kwamba hawatuwezi hata kidogo kwenye sekta zote watalia sn, ila kwa ss wameshaanza kuujua ukweli kdg kdg
Sasa hivi wanajifanya vichwa ngumu 😂😂😂
 
Simple definition of Kenyan [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji3]
tapatalk_1584028978235.jpeg
 

Attachments

  • tapatalk_1587067196962.jpeg
    tapatalk_1587067196962.jpeg
    63.8 KB · Views: 13
Back
Top Bottom