Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kenpipe estate kitengera
images-14.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
I’m not sure if your English is competent enough to understand the meaning of a “ gated community “
Aren't those your "gated communities"? As if you have any down there save for the uswazi hovels
 
Lesini zinafutwa kwa wavunja sheria.
Sio kw wavunja sheria, usinione ni km sikuisoma hyo habari..
Leseni zitafutwa kw wasiopunguza bei, sasa wewe utaanzaje kumwambia mtu apunguze bei wakati hujui chanzo ni nn...

Wafanyibiashara wana chama chao, sasa ilitakiwa wafuatilie km soko linaendaje kwanza wala sio mihemko ya kisiasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hv nyie Wakenya mnadhani mnaweza kuwa na estate za maana kuliko Tz [emoji3] [emoji3] mnajiingopea sn
 
Hivi wana habari sehemu kibao za Dar hazijawahi postiwa humu [emoji23][emoji23][emoji23]
Na ndicho kitu huwa najisemea moyoni asante sana mkuu leo umenisemea, yn kuna maeneo kibao ya kushangaza na estate kibao nazijua ila hazijawahi kupostiwa hapa wao washamaliza ila naamini cku zinavyosonga wataelewa tu Dar maana yake nini
 
Back
Top Bottom