Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mbagala ni phase two na ipo u/c,
Hii phase three ni kule gongo la mboto km 23.
Ilikuwa haiingii akilini kabisa airport kukosa BRT yn watu wanatoka ma kms kibaoo from abroad zen amechoka anataka kwenda Johari rotana anakutana na bonge la joka apo Vingunguti, ss itakuwa poa tena nashauri kuwe na buses kwa ajili ya airport tu na ziwe na nauli ya juu kdg ili kubana raia wa kawaida wasisumbue arrivals
 
Ilikuwa haiingii akilini kabisa airport kukosa BRT yn watu wanatoka ma kms kibaoo from abroad zen amechoka anataka kwenda Johari rotana anakutana na bonge la joka apo Vingunguti, ss itakuwa poa tena nashauri kuwe na buses kwa ajili ya airport tu na ziwe na nauli ya juu kdg ili kubana raia wa kawaida wasisumbue arrivals
Yeah hta mimi nmeona hilo.Inabidi kuwe na express busses za Airport- City Centre na ziwe na seat nying compared to normal BRT buses na ziwe na ma boot ya mizigo kama taxi flani special designed

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwn kuna phase ngp
Phase 6 ndo zilikuwa planned initially
Phase 1 Kimara - CBD and Gerezani.. Completed
Phase 2 -Mbagala to CBD and Gerezani U/C
Phase 3- Gombz to CBD and Gerezani loan from WB agreed ..
Phase 4 Tegeta to CBD and Gerezani WB agreed to give us loan

Phase 5- ina roads nying including Nelson Mandela, Sinza , Kati kati humo Mwananyamla , Buguruni it is the longest BRT route bado haijapata funds

Phase 6.. Kawe and Mikocheni to CBD



Sent using Jamii Forums mobile app
 
75B2A8C5-F7D5-46FF-85DA-5C39CE419A00.jpeg
 
Back
Top Bottom