Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
tapatalk_1586713716007.jpeg
 
Hapa ss tushamaliza

Milionea tupo juu
SGR tupo juu
Bilionea tupo juu
Rural electrification tupo juu
Paved roads kms tupo juu
Real estate tupo juu
Quality of life among citizens tupo juu
Health amenities tupo juu (kwa ss)
Water supply tupo juu
Food availability tupo juu
Military issues tupo juu

n.k
 
Si maneno yangu. Ni maneno ya Benki ya Dunia Kwa hiyo sasa, kama una hasira nenda kaandamane
[emoji3][emoji3][emoji3] hiki ni kipigo kingine kitakatifu baada ya no. Of millionaires kuwacharaza wakaumia mwishowe wamekubali, huwa wanapitia stages hz hapa[emoji116][emoji116]

Denial
Negotiate
Acceptance

DNA

Si mnakumbuka report ya millionaires ilipotoka kuna mkenya ilimuathiri sn kisaikolojia akatishia mpk kwenda knight frank kuwaambia wamekosea lkn kumbe alikuwa kwenye stage ya kwnz, and now ameshakubali na maisha yanaendelea, ss hata hii ya value of real estate wataipinga mwishowe watakubali tu, twendeni nao taratibu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom