Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sasa kweli hapo alishindwa kuchukua utaratibu unaofaa!
Hawana utu kabisa.
203783D7-D3CD-460F-B1EB-AB31BB8BF164.jpeg
 
Waambie hao Wakenya tunavyokataa kuishi kwenye viota ni kwasababu tumejenga vijumba vyetu kama hivyo. Kule wanakopaita 'slum' ndio vimejaa hivyo
Halafu pia wajue ndio maana watanzania huwezi kuwalundika kwenye cages kama broilers na ndio maana miji yetu ni mikubwa na imetanuka sababu kila mtanzania anataka kuishi kwenye eneo lake kubwa lenye fance na garden kubwa

Tofauti na Wakenya wamezoea kuishi kwenye slums na kwenye cages, yaani wanalo somo kubwa sana la kujifunza kuhusu Tanzania.
 
Back
Top Bottom