Naton Jr
JF-Expert Member
- Oct 5, 2016
- 7,866
- 19,252
LOL kwani Mwanza haina visiwa?Hyo ni island jomba[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kumbe hata mombasa hujui
Sent using Jamii Forums mobile app
LOL kwani Mwanza haina visiwa?Hyo ni island jomba[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kumbe hata mombasa hujui
Sent using Jamii Forums mobile app
Achana na huyo kilaza tumezoea sarakasi zake. Eti Mombasa haina apartments? 😂 😂 😂 Amewahifika Kizingo? Na Bamburi Je? What about Shanzu? Nyali? Tudor? Ganjoni? Likoni? Wacha nimpe kionjo kidogoAkikujibu nitag
Kisha wacha jina tu, akueleze km alipitia akienda wapi..
Juzi tu kasema km mombasa hakuna appartments ni mahoteli tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani sheria haiwezi pingwa mahakami? You think we are led by an iron fist kama nyinyi? Sisi tuko huru kupinga kitu na kuwasilisha kesi mahakami si kama nyieSheria au amri, km ni sheria hao walioenda mahakamani walifata nn, wakenya bhn[emoji3][emoji3][emoji3]
Unatakiwa uwe unaelewa kilichozungumzwa kabla ya kubweka bweka, haya niambie sheria ya kupanga rangi ya blue and white apo mombasa imepitishwa lini.Kwani sheria haiwezi pingwa mahakami? You think we are led by an iron fist kama nyinyi? Sisi tuko huru kupinga kitu na kuwasilisha kesi mahakami si kama nyie
Even in this devastating world, Tanzania is keeping on serving it
watakuja kuchukua bidhaa mara tatu kwa wiki [emoji122]
Mwanza ni kijiji ndani ya Old townTanzania bado sana, dar yote hakuna residentials km hizi pia...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1414452
Sent using Jamii Forums mobile app
Nairobi a.k.a the slum headquarter
Kichaka nairobi bado sanaI LIKE THIS PHOTO ILLUSTRATES THE SEPARATION BETWEEN THE CBD UPPERHILL AND WESTY'
Secondly. look at how cool Wayaki way looks. sneaking through the green, world class.
View attachment 1413032
Additional view of Westlands
View attachment 1413036
utajiri wa watervesssels wa Mwanza alone ni zaidi ya Kunyaland nzima! Pita huku 👇