Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ghorofa za mwanza zote hapo hazijazi mkitaka ongezeni na arusha pia

Sent using Jamii Forums mobile app
Hzi ni gorofa hzi au ni takataka😂😂👇👇 yani munasafari ndefu sana kimaisha
4093DD12-067F-4634-90A5-4B45739BEE40.jpeg
64DE7E7C-9D48-40C9-9988-76B1FE5C72B5.jpeg
36959602-EFD2-493E-A2FD-24BFBD6470AA.jpeg
 
Naona yamekushinda ichoboy, ulale salama mr. Muongo

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkikamatwa kwenye ukweli munakasirika na siku utapata suburb ya kushindana na mwanza ww nitag mm nakusubiri toka juzi mbona nawasubiria 😂😂😂😂😂 eti mombasa yote imepakwa white and blue unaona watu wajinga humu ndani
 
So usidanganye hapa kwamba mombasa yote imepkwa white and blue 😅😅😅 yani musidanganye wakat mm nipo never ever wataftie wenzako suburb 😂😂👇
D4001D8C-7ACE-4A0D-A0E0-5DFCFF45E92D.jpeg
A2AD3966-C372-4809-B802-BA21F3A6CFE1.jpeg
CEAF54FD-B286-4AC0-8445-CAC2197DE2AA.jpeg
1378CD0C-98C2-4BF0-B095-806826E71B47.jpeg
 
😂 😂 🔫 🇹🇿 💉 💉 hapa dawa imeingia vizuri
Jana umeshindwa kuja kumsaidia mwenzako katoka povu mwisho kufa😂😂😂😂 anatafuta suburb kwenye takataka
 
Kwani wenye pesa ni watatu,kanyumba kamoja kamoja 2,mwanza 90% ni usawazi,we know it 😂 💉
Uhehehehehe hzi povu au ndio unazuga😂😂 mwenzako kakutana na kisiki jana hana hamu 😂😂😂😂
 
LOL this tiny congested slum does not even have outskirts 😅😅😅

Each picture you are dropping are from CBD 😅😅😅😅
Heheheh uchafu mtupu from CBD😂😂😂
 
Dalili za kushindwa izo..tunakufahamu vizuri, you're a very bad loser

Hehe ikiwa mwanza your 2nd largest city inapewa kichapo ivo na the very old mombasa old town daaah

Sent using Jamii Forums mobile app
Ahahahah unavotamka hayo maneno ni kama vile mombasa kuna new town?😂 ndio hzo estate munatuonesha hapa choo cha mtu ndio chumba cha mtu kinapoanzia😆😆😆

msaidie mwenzako kuletea suburb maanza mwanza ni kisiki kwa mombasa hamuna hamu Jana kapokea kichapo humu kabakia kulia 😅😅
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] [emoji1787][emoji1787][emoji1787] [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
Dalili za kushindwa izo..tunakufahamu vizuri, you're a very bad loser

Hehe ikiwa mwanza your 2nd largest city inapewa kichapo ivo na the very old mombasa old town daaah

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanaume anaejiamini haongei sana analeta suburb hapa ili ujiite wewe mwanaume sasa msaidie mwenzako jana kahangaika sana mwisho wake kaanza kuleta na uchafu humu ndani😂😂😂😂😂😂
 
Mkikamatwa kwenye ukweli munakasirika na siku utapata suburb ya kushindana na mwanza ww nitag mm nakusubiri toka juzi mbona nawasubiria [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti mombasa yote imepakwa white and blue unaona watu wajinga humu ndani
Naona unataka kuusafisha uongo wako, hahahaa!!utadanganya watu wa tandale wala sio mimi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom