Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Reli yenu ingeishia no where . Be reasonable. Hizo cooked data waulize ugiriki waliumbuka. GDP kiasi hicho bado mnategemea donation ya chakula.

kitochi
Hata nyinyi ingieni jikoni mkapike Takwimu mtupiku. Si mlisema mnajenga kwa pesa za ndani na tayari KM 100 zimewashinda. Mlisema mna pesa za ndani mbona Bagamoyo port ikawashinda?
 
Huwez kuimba mambo ya GDP hapa wakat nchi ikitikiswa kidogo bidhaa zinakwenda juu tena hasa vyakula 😂😂👇👇👇

mwaswast tuliza kichwa budaa


2020 bado mpo LDC? Najua inauma but itabidi uzoee. Kama rangi ya Kenya na Tz hazifanani, reply 😉
f97916357e5b606a58e9670618da4736.png
 
Ukanda huu Afrika ya Kati na Mashariki
1. Kenya
2. Ethiopia
3. Tanzania
Kuna siku mlikuwa mnashikilia nafasi ya Kwanza in the 70s. In the 80s & 90s Kenya ikachukua nafasi ya 1 na kuwatupa Tz no 2. Hivi majuzi 2018 Ethiopia pia kawaona wanyonge na kuchukua nafasi yenu na hivi Sasa kwa dakika hii ukisoma reply yangu mpo namba 3...Ethiopia kawapiku mkituita failed State.
Kenya is East and Central Africa's Economic power house upende usipende.
To be no. 1 is not the case, the issue is can u be able to remain at that number, [emoji3][emoji3] hzo nchi zilizo juu ya Tz zote hazina uwezo wa kupambana na Tz km tukiamua, hv ushawahi jiuliza kwnn baada ya kutoka Nyerere madarakani nchi ikapoteza namba yake? Kumbuka kwamba by the time Tanzania leads the region economically Kenya was more industrialized than any country in the region na hzo industries zilikuwa lead by whites, hapa nakukumbusha tu kwmb even wazungu failed to help you beating Tz economically, unajua ni kwnn? Nchi hii imebarikiwa mali za kila aina including oil ambapo tunasubiri tu confirmation kutoka kwa experties, ss leo Nyerere karudi kwa style nyingine na miaka yake mi5 tu ya mwanzo imetosha kuwaonesha Tz maana yake nini, ss subirini miaka yake mingine miwili ya kuzindua zen mitatu itayobaki ya kuuwa kila kitu [emoji3][emoji3][emoji3] omba uhai ushuhudie Tz ikipambana na SA, Egypt and Maroc na co Kenya, inauma ila ndo hamna jinc lazima mzimeze tu hz bitter pills[emoji3][emoji3][emoji3]
 
To be no. 1 is not the case, the issue is can u be able to remain at that number, [emoji3][emoji3] hzo nchi zilizo juu ya Tz zote hazina uwezo wa kupambana na Tz km tukiamua, hv ushawahi jiuliza kwnn baada ya kutoka Nyerere madarakani nchi ikapoteza namba yake? Kumbuka kwamba by the time Tanzania leads the region economically Kenya was more industrialized than any country in the region na hzo industries zilikuwa lead by whites, hapa nakukumbusha tu kwmb even wazungu failed to help you beating Tz economically, unajua ni kwnn? Nchi hii imebarikiwa mali za kila aina including oil ambapo tunasubiri tu confirmation kutoka kwa experties, ss leo Nyerere karudi kwa style nyingine na miaka yake mi5 tu ya mwanzo imetosha kuwaonesha Tz maana yake nini, ss subirini miaka yake mingine miwili ya kuzindua zen mitatu itayobaki ya kuuwa kila kitu [emoji3][emoji3][emoji3] omba uhai ushuhudie Tz ikipambana na SA, Egypt and Maroc na co Kenya, inauna ila ndo hamna jinc lazima mzimeze tu hz bitter pills[emoji3][emoji3][emoji3]
Niliskia hizi hadithi zenu za kutupiku hapa hapa miaka zaidi ya kumi iliyopita. Ati mpambane na kina Egypt 😂😂😂 ligi yenu Burundi, Somalia na South Sudan.
 
Niliskia hizi hadithi zenu za kutupiku hapa hapa miaka zaidi ya kumi iliyopita. Ati mpambane na kina Egypt [emoji23][emoji23][emoji23] ligi yenu Burundi, Somalia na South Sudan.
Omba uhai af mpaka hapa tunaongea tunasubiri report mpya itoke hapo mwakani zen wote humu mtarudi facebook [emoji3][emoji3]
 
To be no. 1 is not the case, the issue is can u be able to remain at that number, [emoji3][emoji3] hzo nchi zilizo juu ya Tz zote hazina uwezo wa kupambana na Tz km tukiamua, hv ushawahi jiuliza kwnn baada ya kutoka Nyerere madarakani nchi ikapoteza namba yake? Kumbuka kwamba by the time Tanzania leads the region economically Kenya was more industrialized than any country in the region na hzo industries zilikuwa lead by whites, hapa nakukumbusha tu kwmb even wazungu failed to help you beating Tz economically, unajua ni kwnn? Nchi hii imebarikiwa mali za kila aina including oil ambapo tunasubiri tu confirmation kutoka kwa experties, ss leo Nyerere karudi kwa style nyingine na miaka yake mi5 tu ya mwanzo imetosha kuwaonesha Tz maana yake nini, ss subirini miaka yake mingine miwili ya kuzindua zen mitatu itayobaki ya kuuwa kila kitu [emoji3][emoji3][emoji3] omba uhai ushuhudie Tz ikipambana na SA, Egypt and Maroc na co Kenya, inauma ila ndo hamna jinc lazima mzimeze tu hz bitter pills[emoji3][emoji3][emoji3]
Ndoto za tangu miaka 90s hzo[emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom