komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Hata mandera hawaiweziMandera hospital in Northern Kenya. Soma ICU
View attachment 1407118
View attachment 1407121View attachment 1407122
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mandera hawaiweziMandera hospital in Northern Kenya. Soma ICU
View attachment 1407118
View attachment 1407121View attachment 1407122
So leo kenya unaifananisha na italy au america au japan 😂😂😂😂 yani huu ndio upumbavu uliobakia kichwani mwenu unafananisha developed countries debts na developing countries debts rudi shule ukasome vzr 😁😁😁 yani athari ya 64% debt to GDP ratio kwa kenya ni kubwa sana kias kwamba hata pesa ya kupambana na locust hamuna mpaka mupewe sadaka hope umenielewa hapoThe higher the debt to GDP ratio, the wealthier the country.
Hapa hupati LDC sijui Tanzania, Malawi ama Burundi.
View attachment 1407884
Hapa pia hupati LDC
View attachment 1407885
Hapa pia LDC kina TZ hawamo. Tupo ligi moja na wanaotaka kuwajengea Bagamoyo port. 😁😁 Takwimu bro hazidanganyi.
View attachment 1407887
Nchi zote ziko hiki kikundi Cha mwisho ni LDC 😂😂 sio Mimi nimesema...Takwimu msema kweli.View attachment 1407888
Tanzania + Uganda + Rwanda + Burundi + South Sudan = KenyaKenya +Ethiopia +Tanzania + Uganda GDP Is less than EGYPT GDP ,Tafakari Unaposema powerhouse za ujinga ujinga basi
Sent using Jamii Forums mobile app
Unataka niifananishe na LDC Tz au Burundi? Pole Sana bro but ligi yetu labda Ethiopia ukanda huu, nyie mpo nambari 3 juu kiasi ya wenzenu kwenye ligi ya LDC Uganda na Rwanda.So leo kenya unaifananisha na italy au america au japan 😂😂😂😂 yani huu ndio upumbavu uliobakia kichwani mwenuunafananisha developed countries debt na developing countries debt rudi shule ukasome vzr 😁😁😁
Kahongwa huyo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kisanii cha kike kimeanza juzi mziki kina mkoko wa heshima[emoji116][emoji116][emoji116] nandy
View attachment 1407799
Si ingelianza dollar kwanza[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] natumai two months to come itakuwa [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3]
1ksh = 20 Tshs
Whilst two years later will be like[emoji116][emoji116][emoji3][emoji3]
1ksh = 10 Tshs
And, Five years after today, the game will be [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji3]
1ksh = 1.5 Tshs
Na km wasipoamka mapema 10 years after today ngoma itakuwa [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
1Tsh = 2 kshs
Km mnabisha nyie subirini muone maana hyo exportation tutafanya ktk kipindi cha hii miaka 10 ijayo, hakuna nchi ya EA itatugusa, hvyo nategemea dafu kupanda zaidi kulinganisha na pesa za nchi jirani.
And yet they look like fishing villages 😁😁😁 hii ni baada ya kushindwa na Bwagamoyo. Mtapokea mzigo wa Lamu mpende msipende 😂😂Unaumwa mavi wewe GoK till today has spent not more than $200 mln for Lamu port construction an amount each of Tanga n Mtwara ports has spent.
Soma hii comment vzr plz😂😂👇👇Unataka niifananishe na LDC Tz au Burundi? Pole Sana bro but ligi yetu labda Ethiopia ukanda huu, nyie mpo nambari 3 juu kiasi ya wenzenu kwenye ligi ya LDC Uganda na Rwanda.
So leo kenya unaifananisha na italy au america au japan 😂😂😂😂 yani huu ndio upumbavu uliobakia kichwani mwenu unafananisha developed countries debts na developing countries debts rudi shule ukasome vzr 😁😁😁 yani athari ya 64% debt to GDP ratio kwa kenya ni kubwa sana kias kwamba hata pesa ya kupambana na locust hamuna mpaka mupewe sadaka hope umenielewa hapo
ndio maana mumefki mpaka hatua ya kukopa loan kulipa loan 😀😀😀 sijawah sikia nchi imefkia hatua hio
Kahongwa na nani wakat dada yenu kasusa prado new model ya diamond😂😂😂
64% debt to GDP kwa kenya maana yake mumefikia red line in economy😂😂👇👇 mchina kawatia kuti kavu mchana kweupeUnataka niifananishe na LDC Tz au Burundi? Pole Sana bro but ligi yetu labda Ethiopia ukanda huu, nyie mpo nambari 3 juu kiasi ya wenzenu kwenye ligi ya LDC Uganda na Rwanda.
Unataka niifananishe middle income na LDC Kama Tz au south Sudan? Ligi yetu South Africa, Egypt au hata Morocco.Soma hii comment vzr plz😂😂👇👇
Wenzenu sio failed state ni nyinyi pekeenu africa 😂😂😂😂Unataka niifananishe middle income na LDC Kama Tz au south Sudan? Ligi yetu South Africa, Egypt au hata Morocco.
Ni residential districtIs upper hill CBD??😂😂😂 Ama kweli jubilee imewafikisha pabaya sana
Kumbe sio CBD sawa 😂😂😂 punguza ujinga kichwani weweNi residential district
Hehehe GDP imejaa madeni na iko kwenye red line sahii unaongea mambo ya ushuzi wa GDP😂😂😂👇👇👇Unataka niifananishe na LDC Tz au Burundi? Pole Sana bro but ligi yetu labda Ethiopia ukanda huu, nyie mpo nambari 3 juu kiasi ya wenzenu kwenye ligi ya LDC Uganda na Rwanda.
Reli yenu ingeishia no where . Be reasonable. Hizo cooked data waulize ugiriki waliumbuka. GDP kiasi hicho bado mnategemea donation ya chakula.Ukweli ni kuwa Hatumo kundi lenu la wanyonge LDC. We are better off hata wewe unajua Hilo Ila linauma but itabidi uzoee [emoji6]
Ukanda huu Afrika ya Kati na MasharikiWenzenu sio failed state ni nyinyi pekeenu africa 😂😂😂😂