Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mumeshikilia no 1 ya poverty na GDP inayonuka ushuzi wa madeni 😂😂😂

juzi naskia mumeanza kumtukana magufuli kwann haungani na nyie juu ya kufunga mipaka kwaajili ya corona😁😁

hata pesa ya kuhudumia locusts hamuna munasubiri wahisani watoe sadaka alaf munakuja hapa sisi GDP 😂😂 mavi ya kunguni
East and Central Africa's Economic power house. Tafakari hayo.
 
Tokyo? Nah
14424A38-31C2-496C-B700-CE40842EE673.jpeg
610584A1-69F8-4E3A-B24E-0A28171FF749.jpeg
BB311F3E-F28D-439D-BFB0-02578E8C308D.jpeg
02660D64-3FFC-46CF-9F1F-5A7CBFDD13B7.jpeg
DEEF5E6D-BA39-481C-B272-A411364CD8D9.jpeg
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] natumai two months to come itakuwa [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3]

1ksh = 20 Tshs

Whilst two years later will be like[emoji116][emoji116][emoji3][emoji3]

1ksh = 10 Tshs

And, Five years after today, the game will be [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji3]

1ksh = 1.5 Tshs

Na km wasipoamka mapema 10 years after today ngoma itakuwa [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

1Tsh = 2 kshs

Km mnabisha nyie subirini muone maana hyo exportation tutafanya ktk kipindi cha hii miaka 10 ijayo, hakuna nchi ya EA itatugusa, hvyo nategemea dafu kupanda zaidi kulinganisha na pesa za nchi jirani.
Ila economy ya Kenya si mchezo.....

hata iwe ICU vip, economy ya Tanzania si rahisi kuikuta. Kenya kuna hatua flan walishaipiga where sisi bado hata hatujaifikia hiyo hatua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila economy ya Kenya si mchezo.....

hata iwe ICU vip, economy ya Tanzania si rahisi kuikuta. Kenya kuna hatua flan walishaipiga where sisi bado hata hatujaifikia hiyo hatua

Sent using Jamii Forums mobile app
Hatua gani hebu dadavua kidogo

Hebu leo iangazie china ya miaka 10 iliopita na china ya leo mabayo ni tishio kwa Uchumi dunia nzima yani imezipa joto nchi ambazo zimeendelea miaka 200

mark my words bro hakuna nchi uchumi umekufa kama kenya we subiri mutakuja nambia hapa
 
Ila economy ya Kenya si mchezo.....

hata iwe ICU vip, economy ya Tanzania si rahisi kuikuta. Kenya kuna hatua flan walishaipiga where sisi bado hata hatujaifikia hiyo hatua

Sent using Jamii Forums mobile app
Nambie South Afrika co kenya mkuu, tunawalisha kwa asilimia kubwa af tusiwapite kwnn, Tz ina kila sababu za kuwa juu nchi yetu ni kubwa mara mbili ya kenya tuna rasilimali nyingi zaidi ya kenya tatzo viongozi walituangusha sn nchi hii, hebu angalia Magu ana miaka minne tu ofisini huu wa tano angalia anavyowakimbiza, let say Magu angeongoza gurudumu tangu mwaka 2000 af kasi ingekuwa hii hii unadhani ingekuwaje, ni ujinga wa hali ya juu Tz kupitwa na nchi nusu jangwa na icyo na mali kutuzid lkn leo mwamba umeinuka tunakaba kila kona na ww km huamini subiri uone pale Magu anakabidhi kijiti kwa mwngine af soma GDP and per capita income ya bongo itasoma ngp compared to Kenya
 
Hatua gani hebu dadavua kidogo

Hebu leo iangazie china ya miaka 10 iliopita na china ya leo mabayo ni tishio kwa Uchumi dunia nzima yani imezipa joto nchi ambazo zimeendelea miaka 200

mark my words bro hakuna nchi uchumi umekufa kama kenya we subiri mutakuja nambia hapa
Yah ishu kujiamini na kusimamia kikamilifu unachokiamini
 
Natafakari kuona debt to GDP ratio 64%😂😂
The higher the debt to GDP ratio, the wealthier the country.

Hapa hupati LDC sijui Tanzania, Malawi ama Burundi.
Screenshot_20200403-185542.png


Hapa pia hupati LDC
Screenshot_20200403-185614.png


Hapa pia LDC kina TZ hawamo. Tupo ligi moja na wanaotaka kuwajengea Bagamoyo port. 😁😁 Takwimu bro hazidanganyi.
Screenshot_20200403-185514.png


Nchi zote ziko hiki kikundi Cha mwisho ni LDC 😂😂 sio Mimi nimesema...Takwimu msema kweli.
Screenshot_20200403-185425.png
 
Back
Top Bottom