The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,616
- 98,850
Kwny hii sekta walishatiiKisanii cha kike kimeanza juzi mziki kina mkoko wa heshima[emoji116][emoji116][emoji116] nandy
View attachment 1407799
Kwny hii sekta walishatiiKisanii cha kike kimeanza juzi mziki kina mkoko wa heshima[emoji116][emoji116][emoji116] nandy
View attachment 1407799
East and Central Africa's Economic power house. Tafakari hayo.Mumeshikilia no 1 ya poverty na GDP inayonuka ushuzi wa madeni 😂😂😂
juzi naskia mumeanza kumtukana magufuli kwann haungani na nyie juu ya kufunga mipaka kwaajili ya corona😁😁
hata pesa ya kuhudumia locusts hamuna munasubiri wahisani watoe sadaka alaf munakuja hapa sisi GDP 😂😂 mavi ya kunguni
Natafakari kuona debt to GDP ratio 64%😂😂East and Central Africa's Economic power house. Tafakari hayo.
Leo mambo yanashuka kama maji mtoni 😂😂Nikiwa mdogo miaka karibia 10 hivi iliiuwa;
1ksh - 16Tsh
Tafakari hayo Bro.
Sasa si mngekua na uchumi kama Malaysia. Wakenya kwa sifa balaaKadogo pia Yani Mtwara + Dar es sluum port + Tanga + port zote mko nazo Hadi L.Tanganyika na L. Victoria + Beira ya Mozambique = Port of Mombasa.
Lamu Port peke yake itakuwa inasambazia Beira, Mtwara na Dark es sluum mzigo.
Ila economy ya Kenya si mchezo.....[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] natumai two months to come itakuwa [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3]
1ksh = 20 Tshs
Whilst two years later will be like[emoji116][emoji116][emoji3][emoji3]
1ksh = 10 Tshs
And, Five years after today, the game will be [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji3]
1ksh = 1.5 Tshs
Na km wasipoamka mapema 10 years after today ngoma itakuwa [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
1Tsh = 2 kshs
Km mnabisha nyie subirini muone maana hyo exportation tutafanya ktk kipindi cha hii miaka 10 ijayo, hakuna nchi ya EA itatugusa, hvyo nategemea dafu kupanda zaidi kulinganisha na pesa za nchi jirani.
Hatua gani hebu dadavua kidogoIla economy ya Kenya si mchezo.....
hata iwe ICU vip, economy ya Tanzania si rahisi kuikuta. Kenya kuna hatua flan walishaipiga where sisi bado hata hatujaifikia hiyo hatua
Sent using Jamii Forums mobile app
Nambie South Afrika co kenya mkuu, tunawalisha kwa asilimia kubwa af tusiwapite kwnn, Tz ina kila sababu za kuwa juu nchi yetu ni kubwa mara mbili ya kenya tuna rasilimali nyingi zaidi ya kenya tatzo viongozi walituangusha sn nchi hii, hebu angalia Magu ana miaka minne tu ofisini huu wa tano angalia anavyowakimbiza, let say Magu angeongoza gurudumu tangu mwaka 2000 af kasi ingekuwa hii hii unadhani ingekuwaje, ni ujinga wa hali ya juu Tz kupitwa na nchi nusu jangwa na icyo na mali kutuzid lkn leo mwamba umeinuka tunakaba kila kona na ww km huamini subiri uone pale Magu anakabidhi kijiti kwa mwngine af soma GDP and per capita income ya bongo itasoma ngp compared to KenyaIla economy ya Kenya si mchezo.....
hata iwe ICU vip, economy ya Tanzania si rahisi kuikuta. Kenya kuna hatua flan walishaipiga where sisi bado hata hatujaifikia hiyo hatua
Sent using Jamii Forums mobile app
Yah ishu kujiamini na kusimamia kikamilifu unachokiaminiHatua gani hebu dadavua kidogo
Hebu leo iangazie china ya miaka 10 iliopita na china ya leo mabayo ni tishio kwa Uchumi dunia nzima yani imezipa joto nchi ambazo zimeendelea miaka 200
mark my words bro hakuna nchi uchumi umekufa kama kenya we subiri mutakuja nambia hapa
Iyo project imeishaanza?This is a good sample of how jkia-limuru(50km expressway) will look like at the section of elevated road between southern bypass interchange and James gichuru road westlands (11km elevated)
I can't wait for this expressway, it will be a game changer[emoji7]
View attachment 1407766
Ww ukitak kuamini angalia miaka 5 ya huyu jamaa ilivowatia jamba jamaba wakenya hawana hamu nae😂😂😂😂 Wanamchukia sanaYah ishu kujiamini na kusimamia kikamilifu unachokiamini
Kenya +Ethiopia +Tanzania + Uganda GDP Is less than EGYPT GDP ,Tafakari Unaposema powerhouse za ujinga ujinga basiEast and Central Africa's Economic power house. Tafakari hayo.
The higher the debt to GDP ratio, the wealthier the country.Natafakari kuona debt to GDP ratio 64%😂😂
Ukweli ni kuwa Hatumo kundi lenu la wanyonge LDC. We are better off hata wewe unajua Hilo Ila linauma but itabidi uzoee 😉Sasa si mngekua na uchumi kama Malaysia. Wakenya kwa sifa balaa
kitochi
Unaumwa mavi wewe GoK till today has spent not more than $200 mln for Lamu port construction an amount each of Tanga n Mtwara ports has spent.This are just small ports,cost yake ata haiwezi fika nusu ya lamu port,the one will be supplying dar port, a big shame hahaha