Tz_one
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 3,063
- 8,227
Hapo ni roughly 20km from CBDBro waambie ni kms ngapi toka CBD...
DMDP ni hatari sana,wamefanya maajabu huku yombo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo ni roughly 20km from CBDBro waambie ni kms ngapi toka CBD...
DMDP ni hatari sana,wamefanya maajabu huku yombo
Hahaha!!hku bei za bidhaa kenya tz na ke kumbe hazijapishana[emoji1787][emoji1787]Hii[emoji205] kwa kusahau unajua kitu inaitwa PPI.
Kuna Mdada wa kikenya kapost tsh20000 kisha kasema ni sawasawa na ksh1000 ila vitu hiyo hela inaweza kufanya ukiwa tz ni Mara 5 ya kenya
Sent using Jamii Forums mobile app
Utoto huo[emoji122][emoji122]Unazungumzia hospitali za [emoji205][emoji205]kenya au za binadamu tz
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado huo pia ni utoto tu[emoji23][emoji23][emoji23] mnyama huyu [emoji205][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205]
Sent using Jamii Forums mobile app
Street lights hta turkana zipo so uache ushambaHzo taa mm ndio huwa zinanikosha kabisa, ucku uswahilini kunawaka km paris af hawa wahuni wa kibera wanasema tuko na 6000km hv wanajua kinachoendelea Tz kweli, mm nakwambieni nyie subirini report mpya watalia humu ndani we ngoja tu tuwe nasubira wakuu, kuku wetu manati ya nn atarudi bandani mwenyewe
Uliambiwa hzo critical care beds zipo mbagathi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Alafu wanatengeneza picha wanakwambia zipo hv, yn hawa wana laana kwakweli co bure, UNAPATA FAIDA GANI KUONGOPA?[emoji116][emoji116]View attachment 1406337
Kwahiyo ulitaka mgonjwa aliyezidiwa kiasi cha kupelekwa ICU atibiwe amesimama???Vizuri zaidi hvyo vifaa vingine lazime waviambatanishe na kitanda kabla ya mambo yote mengine
Sent using Jamii Forums mobile app
We mhuni jamaa afu lazma ushawai kuwa tapeli maana unajua sana kuwa kinyonga ...Mbna hutaki kukubali km ICU beds nazo ni healthcare facilities[emoji1787][emoji1787]
Najua hutaki kuumbuka manake kulingana na definition walionyeshe kabisa km huenda ikawa ni department of a hospital au health care facility...
Anyway swa tu, wacha yaishi hapo
Sent using Jamii Forums mobile app
Bahati mbaya thready imepitwa na wakati ila kuna nyumba za NSSF vikunai Toangoma ni baraa jinginesasa Dar ni coastal city na Nairobi ni inland city, ulitegemea Nairobi iwe na kisiwa kivipi
mkuu unanyonga kabisa hawa kunguni....hii dmdp ni balaa soon hawa kunguni wataelewa
Weka picha mkuuBahati mbaya thready imepitwa na wakati ila kuna nyumba za NSSF vikunai Toangoma ni baraa jingine
Kinyonga huyu tena ni The biggest chameleon in the thread, thnx km ushamjuaWe mhuni jamaa afu lazma ushawai kuwa tapeli maana unajua sana kuwa kinyonga ...
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23] I was wondering where I saw that road now I have an answer
23000 ndo kes 1000Hii[emoji205] kwa kusahau unajua kitu inaitwa PPI.
Kuna Mdada wa kikenya kapost tsh20000 kisha kasema ni sawasawa na ksh1000 ila vitu hiyo hela inaweza kufanya ukiwa tz ni Mara 5 ya kenya
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawana nguvu hawana uwezo 😂Taratibu tunajenga nchi yetu kwa nguvu zetu wenyewe af kunguni wanajengewa miji wanatuita cc wavivu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]