Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ohh sisi tuna ICU 350 kumbe Jubilee tano tena wanatandika vitanda kwenye wodi wanakwambia ICU

hapo ndipo jubilee imewafkisha
Leo hawatatokea humu aibu yake c ya kitoto, ila wakenya kupitia sisi nadhani wataanza kujitathmini pia watakuwa wamegunduwa kuwa mtanzania ni mtu hatari sana, ya kwamba mtanzania anaijua kenya vzr pengine kuliko wakenya wengi lkn wao wakenya hawaijui kabisa Tz
 
Leo hawatatokea humu aibu yake c ya kitoto, ila wakenya kupitia sisi nadhani wataanza kujitathmini pia watakuwa wamegunduwa kuwa mtanzania ni mtu hatari sana, ya kwamba mtanzania anaijua kenya vzr pengine kuliko wakenya wengi lkn wao wakenya hawaijui kabisa Tz
Mkenya akikwambia nje kuna mvua hata kama unasikia maji yanatiririka kwa sauti toka nje ukahakikishe na macho yako😂
 
Ngoja niwaite kwa sauti komora096 Nicxie njooni huku tumalizane na 518 ICU beds tumegundua madudu mengine ya jubilee hukuuuu
Unajua wacha nikwambie kitu hawa watu usifkiri hawajui kua wanafunza matakoni mwao wanajua vzr sana ila kwa sasa kukubali ni ngumu sana ni aibu leo tanzania imeanza kujengwa juzi tu inawajambisha na uharo juu😂😂😂
 
Na ukitaka kujua hawa watu ni failed state soma hii kitu

Soma kidogo hako kafungu
Uelewe maana ya hicho ulichokileta
20200402_125445.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Minus Nairobi is 58 ICU beds across Kunyaland! That means Nairobi has 102 ICU!

2355979_Screenshot_2020-04-02_12.09.31.png


That figure leads us to another discovery i.e. At 144, Dar has more ICU beds than Nairobi

93 from Muhimbili National Hospital

10 from Regency Medical center

5 from Aga Khan Hospital

9 from Jakaya Kikwete Cardiac Institute

18 from Muhimbili Orthopaedic Institute (more source)

3 from Lugalo Military Hospital

6 from Shree Hindu Mandal Hospital

Both Ocean Road Cancer Institute (largest in East and central Africa) and Sali hospital have ICU beds but number not stated on their websites!

#Akilizahandshake#

CC: Zigi Rizla Kafrican Depay Teargass Tony254 pingli-nywee komora096 Edward Wanjala
 
Umejumlisha Mloganzila pia au inawekwa mkoa wa Pwani?
Minus Nairobi is 58 ICU! That means Nairobi has 102 ICU!

2355979_Screenshot_2020-04-02_12.09.31.png


That figure leads us to another discovery i.e. Dar has more ICU beds than Nairobi

93 from Muhimbili National Hospital

10 from Regency Medical center

5 from Aga Khan Hospital

9 from Jakaya Kikwete Cardiac Institute

16 from Muhimbili Orthopaedic Institute

Both Ocean Road Cancer Institute (largest in East and central Africa) and Sali hospital have ICU beds but number not stated on their websites!

#Akilizahandshake#

CC: Zigi Rizla Kafrican Depay Teargass Tony254 pingli-nywee komora096 Edward Wanjala

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na pia health care facility(critical care bed) that provides intensive treatment medicine pia ni ICU according to your postView attachment 1406241

Sent using Jamii Forums mobile app

A new discovery!!

Nairobi has 102 ICU beds! Take the total number 160 ICU beds minus the total number 58 ICU beds from the table below

2355979_Screenshot_2020-04-02_12.09.31.png



That figure leads us to another discovery i.e. At 144, Dar has more ICU beds than Nairobi

93 from Muhimbili National Hospital

10 from Regency Medical center

5 from Aga Khan Hospital

9 from Jakaya Kikwete Cardiac Institute

18 from Muhimbili Orthopaedic Institute (more source)

3 from Lugalo Military Hospital

6 from Shree Hindu Mandal Hospital

Both Ocean Road Cancer Institute (largest in East and central Africa) and Sali hospital have ICU beds but number not stated on their websites!

#Akilizahandshake#

CC: Zigi Rizla Kafrican Depay Teargass Tony254 pingli-nywee komora096 Edward Wanjala
 
saiz ipo Dar! hio hospitali ipo chini ya MNH kimatibabu, na ipo chini ya MOE kielimu/masomo
Je hivyo vitanda 93 vya ICU MNH vina-involve pia vya Mloganzila ama hapana? Mie nadhani included!
 
Back
Top Bottom