Walker255
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 4,884
- 12,949
Does Nairobi’s prism tower look anything like the building I just drew? Please have your facts straight. Don’t guess.Nairobi?
Does Nairobi’s prism tower look anything like the building I just drew? Please have your facts straight. Don’t guess.Nairobi?
Ohh sisi tuna ICU 350 😂😂😂😂😂😂 kumbe Jubilee tano tena wanatandika vitanda kwenye wodi wanakwambia ICUTulisema humu kwamba hizo 518 ICU beds lazima itakuwa ni changa la macho haya oneni mlivyoumbuka Nicxie komora096
MNAPATA FAIDA GANI KUONGOPA?
Kenya ina maabara 2 tu za kupima Corona, vitanda 160 vya ICU, Kaunti 22 hazina ICU kabisa - JamiiForums
![]()
gud idea mkuu hiyo kwa anayeelewa art lazima atoe saluteSometimes, I like to draw when I’m free and I created this skyline just pembeni mwa Morocco square. What do y’all think of it?
View attachment 1406524View attachment 1406525
si wewe,,pekee tena umejishushasehemu ya hivi hata Mimi siwezi ku-survive
.
Leo hawatatokea humuOhh sisi tuna ICU 350kumbe Jubilee tano tena wanatandika vitanda kwenye wodi wanakwambia ICU
hapo ndipo jubilee imewafkisha![]()

aibu yake c ya kitoto, ila wakenya kupitia sisi nadhani wataanza kujitathmini pia watakuwa wamegunduwa kuwa mtanzania ni mtu hatari sana, ya kwamba mtanzania anaijua kenya vzr pengine kuliko wakenya wengi lkn wao wakenya hawaijui kabisa TzHawatokuja nakwambia



Mkenya akikwambia nje kuna mvua hata kama unasikia maji yanatiririka kwa sauti toka nje ukahakikishe na macho yako😂Leo hawatatokea humuaibu yake c ya kitoto, ila wakenya kupitia sisi nadhani wataanza kujitathmini pia watakuwa wamegunduwa kuwa mtanzania ni mtu hatari sana, ya kwamba mtanzania anaijua kenya vzr pengine kuliko wakenya wengi lkn wao wakenya hawaijui kabisa Tz
Unajua wacha nikwambie kitu hawa watu usifkiri hawajui kua wanafunza matakoni mwao wanajua vzr sana ila kwa sasa kukubali ni ngumu sana ni aibu leo tanzania imeanza kujengwa juzi tu inawajambisha na uharo juu😂😂😂
Kenya ni the worst nation in the world actually more than failed stateUnajua wacha nikwambie kitu hawa watu usifkiri hawajui kua wanafunza matakoni mwao wanajua vzr sana ila kwa sasa kukubali ni ngumu sana ni aibu leo tanzania imeanza kujengwa juzi tu inawajambisha na uharo juu![]()
Soma kidogo hako kafunguNa ukitaka kujua hawa watu ni failed state soma hii kitu
si wewe,,pekee tena umejishusha
hapo hata wanyama hawawezi kusurvive
Sent using Jamii Forums mobile app

Minus Nairobi is 58 ICU! That means Nairobi has 102 ICU!
![]()
That figure leads us to another discovery i.e. Dar has more ICU beds than Nairobi
93 from Muhimbili National Hospital
10 from Regency Medical center
5 from Aga Khan Hospital
9 from Jakaya Kikwete Cardiac Institute
16 from Muhimbili Orthopaedic Institute
Both Ocean Road Cancer Institute (largest in East and central Africa) and Sali hospital have ICU beds but number not stated on their websites!
#Akilizahandshake#
CC: Zigi Rizla Kafrican Depay Teargass Tony254 pingli-nywee komora096 Edward Wanjala
Na pia health care facility(critical care bed) that provides intensive treatment medicine pia ni ICU according to your postView attachment 1406241
Sent using Jamii Forums mobile app
bado kwa vile sijaweza pata na japokuwa Mloganzila ipo Dar (Makonda alim-convince JPM kuiingiza wilaya ya Ubungo) ipo pia chini ya MNH so sijajua kama hivyo 93 ni pia vya Mloganziala au la! kama una data mwaga humu!
Je hivyo vitanda 93 vya ICU MNH vina-involve pia vya Mloganzila ama hapana? Mie nadhani included!saiz ipo Dar! hio hospitali ipo chini ya MNH kimatibabu, na ipo chini ya MOE kielimu/masomo