Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi



N2-01.png
 
Mbna hutaki kukubali km ICU beds nazo ni healthcare facilities[emoji1787][emoji1787]
Najua hutaki kuumbuka manake kulingana na definition walionyeshe kabisa km huenda ikawa ni department of a hospital au health care facility...
Anyway swa tu, wacha yaishi hapo

Sent using Jamii Forums mobile app
Critical care bed sio ICU ila ni kitanda kinachoingizwa kwenye chumba cha ICU yani maana haitabadilika mark my words πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

na ukitaka kujua maana ya ICU πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡


 
Bro waambie ni kms ngapi toka CBD...


DMDP ni hatari sana,wamefanya maajabu huku yombo
Najua mzee huko yombo niliwahi kupita hapo cku moja nikawish kupiga picha niwaletee humu sema ckupata nafasi, papichulo km ukiweza just shoot video uwaletee humu maana bado hawajaelewa dmdp manaake nn
 
Back
Top Bottom