komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Hapo unampigia mbuzi gitaaUnafikiri laboratory ni kitu unajenga leo na inaanza kazi kesho? Kama hivyo ndio sisiemu waliawaambia basi waliwadanganya. Secondly, we are reporting many positive cases because we have three times your capacity to do testing. In the last 24 hours alone, we've tested almost three hundred people. Do you even know how many your laboratory has tested in the last 24 hours? I can bet that you don't. Hao tisa ambao wamepatikana leo hawangejulikana wako na ugonjwa if we didn't do the testing na wangeendelea kuambukiza wengine zaidi
Sent using Jamii Forums mobile app