komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Nimefikiria ndio hata mko top ten dunianiEti wanashindana na tanzania[emoji23][emoji23][emoji116][emoji116]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimefikiria ndio hata mko top ten dunianiEti wanashindana na tanzania[emoji23][emoji23][emoji116][emoji116]
Ndio ujibu sasa, km hutaki pia khalasMaana ya hospital utaijua baada ya kwenda sambamba kwenye mchezo usiohitaji hasira nakwambia kama ww mwanaume mm niko tayar tuanze sasa hvi alaf tuone kama utakaa humu ndani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Uhehehehe fimbo zimekuingia kisawasawa😂
[emoji382][emoji382][emoji382][emoji382] maamaeee mwaka huu kukosa corona ilikuwa mshaanza kufungasha virago vyenu humu jf
Uko tayar tuingine mzigoni alaf uone 😃😃 yani chezea upuuzi mwengine lakini hii sector achana nayo hio ndio sector magufuli anainagalia kwa macho mawili
Anakwepaaa [emoji3][emoji3][emoji3] kweli hii co Tz ya 90s, hawez kukubali cz anajua kitakachofuata ni aibuMaana ya hospital utaijua baada ya kwenda sambamba kwenye mchezo usiohitaji hasira nakwambia kama ww mwanaume mm niko tayar tuanze sasa hvi alaf tuone kama utakaa humu ndani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kama kuna kitu imewaanika ni hii Coronavirus. Na hii majigambo yote Tanganyika and Zanzibar combined have only 50 ICU beds capable of handling Covid-19 patients while Kenya has over 350 😂 😂 😂Hapo sasa ndipo hawapataki, manake mkulu kawaaminishia hospitali ni majengo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe unaongelea ka region hapa hapa afrikaUhehehehe fimbo zimekuingia kisawasawa[emoji23]
Ww vp upo tayari mana mwenzio anakwepaa [emoji3][emoji3][emoji116][emoji116]Kama kuna kitu imewaanika ni hii Coronavirus. Na hii majigambo yote Tanganyika and Zanzibar combined have only 50 ICU beds capable of handling Covid-19 patients while Kenya has over 350 [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Maana ya hospital utaijua baada ya kwenda sambamba kwenye mchezo usiohitaji hasira nakwambia kama ww mwanaume mm niko tayar tuanze sasa hvi alaf tuone kama utakaa humu ndani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Duh!!38[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuna nini ya kushindana nayo hapa sasa??ficha aibu
View attachment 1405345
Sent using Jamii Forums mobile app
Hospitali ni nn?Ww vp upo tayari mana mwenzio anakwepaa [emoji3][emoji3][emoji116][emoji116]
Yani nilicheka sana, kisha utaskia mtu anasema tanzania sekta ya afya balaa..Kama kuna kitu imewaanika ni hii Coronavirus. Na hii majigambo yote Tanganyika and Zanzibar combined have only 50 ICU beds capable of handling Covid-19 patients while Kenya has over 350 [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Unafikiri laboratory ni kitu unajenga leo na inaanza kazi kesho? Kama hivyo ndio sisiemu waliawaambia basi waliwadanganya. Secondly, we are reporting many positive cases because we have three times your capacity to do testing. In the last 24 hours alone, we've tested almost three hundred people. Do you even know how many your laboratory has tested in the last 24 hours? I can bet that you don't. Hao tisa ambao wamepatikana leo hawangejulikana wako na ugonjwa if we didn't do the testing na wangeendelea kuambukiza wengine zaidiHuwa hatukurupuki hilo jambo tumekuwa tukiwaambia kila inapoitwa leo, kenya ina corona cases zaid ya 50, Tz ina 19 kuna haja gani ya kuwa na labaratory 10? Huwa tunaangalia uhitaji hatukurupuki, kasi ikiongezeka labs zinaongezeka na zinaweza jengwa hata kwa cku mbili km china vile cz tunajiaweza[emoji3][emoji3]
Ss hilo swali lako c ndo litajibiwa hapo hapo, ww fanya kujikuna tu twende mzigoni mkuu
Kawaida yenu kurukaruka..[emoji382][emoji382][emoji382][emoji382] maamaeee mwaka huu kukosa corona ilikuwa mshaanza kufungasha virago vyenu humu jf
Hahaaa!!likwepeni hilo swali tu[emoji1787][emoji1787]Ss hilo swali lako c ndo litajibiwa hapo hapo, ww fanya kujikuna tu twende mzigoni mkuu
Ok sawa vp tuingie mzigoni basi au unaonajeUnafikiri laboratory ni kitu unajenga leo na inaanza kazi kesho? Kama hivyo ndio sisiemu waliawaambia basi waliwadanganya. Secondly, we are reporting many positive cases because we have three times your capacity to do testing. In the last 24 hours alone, we've tested almost three hundred people. Do you even know how many your laboratory has tested in the last 24 hours? I can bet that you don't. Hao tisa ambao wamepatikana leo hawangejulikana wako na ugonjwa if we didn't do the testing na wangeendelea kuambukiza wengine zaidi
Sisiemu ilwaambia wako mbele in matters healthcare. What do you expect a tanganyikan to do after such heavy words from sisiemu? They have to sing along of course. Kwa ground vitu ni different 😂 😂Yani nilicheka sana, kisha utaskia mtu anasema tanzania sekta ya afya balaa..
Yani sijakosea, wanavyoringia watu eti runa vitu vya afya sijui mia ngapi, kumbe ni magofu[emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio ujibu kwnza basiUko tayar tuingine mzigoni alaf uone [emoji2][emoji2] yani chezea upuuzi mwengine lakini hii sector achana nayo hio ndio sector magufuli anainagalia kwa macho mawili
Hapo ushamfukuza 😂 😂 😂County sio region jomba..
Anyway tuna county 47 na katika hzo county kila moja yapo ina hospitali (county refferal hospital) ambayo iko well equiped
Sent using Jamii Forums mobile app