Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hamna pesa sasa mnaishia kukaa kwenye izo apartment with petty excuses kua umejenga ushago...sisi hua tunajenga kila mahali tunapokua. ..unabisha kwakua hujui undani wa icho kibanda...nakiita kibanda kwasababu kiko simple tu...do you know ardhi ni bei gani? Material za ujenzi maana hakuna finishing Za kijinga hapo...

Siajabu huna hata uwezo wa kununua A.C. Alafu unapiga kelele

Sent using Jamii Forums mobile app
Hta ardhi ikawa ni million bado hicho kibanda hakimalizi ksh 3.5m

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We una uwezo wa kulipia rent nyumba km hyo nairobi, watanzania mna tabu kweli..

Ukiambiwa per month ni more than ksh20k hutoamini kisa mumeshazoea vyumba vya tsh25k hko kwenu

Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe wewe ni masikini kiasi hicho?! Ksh 20k=Tzs 440,000. Hio mbona kodi ya kawaida sana Sinza,Kijitonyama,Mwenge,Tabata,Kimara na sehemu nyingine kama hizo?
 
Thika Road Maziwa Garden
FB_IMG_1585316596330.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom