komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Hahaaaa!!niite utakavyo ila ukwel mtanzania wa kawaida hawezani na kodi za nairobi..Kumbe wewe ni masikini kiasi hicho?! Ksh 20k=Tzs 440,000. Hio mbona kodi ya kawaida sana Sinza,Kijitonyama,Mwenge,Tabata,Kimara na sehemu nyingine kama hizo?
Halafu nikuulize, maana ya more than ksh 20k ni nn?
Sent using Jamii Forums mobile app

