Mwalo Chibya
JF-Expert Member
- Dec 18, 2019
- 1,350
- 1,005
The guy isn't updated 😂😂😂😂chunguza post zake zote za picha, everything anachookota Google anatupia 😁😁mfano analeta na picha za madampo yana viroba vya rambo, hachunguzi ni za lini 😂😂😂Kiwalani naijua vzr sn huwez kudanganya watu humu, kiwalani ya ss co ya 90s ni moja kati ya miji iliyofaidika mno na DMDP af kiwalani, ina mitaa pia haina nyumba zilizochoka km hzo labda unazungumzia kiwalani ya Mwinyi na co hii ya Magu ngj nkipata picha nkuletee hapa yn ina barabara za lami kila mtaa na taa za kisasa kabisa ngj nizipate picha nkunyamazishe, mnadhani hii ni Kenya![]()

