Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Usilazimishe tuwe sawa
Screenshot_2019-12-11-16-53-11.jpeg
 
somen hii vizur .. kenya nao wapo .. afu wakija huku eti ni matajiri


mwisho wa siku tukubaliane kuwa GDP is not edible!

kwa case ya Nigeria nimepata wazo kuwa GDP yao ni kubwa sababu ya mafuta, na ni watu wachache wanayamiliki hayo mafuta. lkn kiuhalisia maisha ya wananigeria ni magumu sana ingawa wana GDP kubwa
we jamaa mkorofi sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom