Na kuhamia dodoma ni sawa na timu yamasnipers kujiposition on top of a tower.
Pia najiuliza hapa Dar tu wafanyabiashara na waajiriwa wanajaribu kufanya kilimo huko pwani, je itakuaje kwa dodoma yenye eneo kubwa + mikoa iliyopakana nayo?
Vipi kuhusu other opportunities? I believe there are so many of them to choose from compared to DSM. May the God give him more chances.
But, Pia najaribu kuimajine jinsi raisi atakaekuja baada ya magu atakavyokuna kichwa akitafuta kitu cha kuwafanyia waTZ ambao watakua wameshazoea ladha ya bullet trains, cheap eletricity, imroved health system, education, flyovers, bus stations na mengineyo. Ukitafakari hayo yote unagundua Magu atakua foundation ya mambo makubwa yajayo kuliko tunavyoona. Mungu ibariki Tanzania, Mungu mbariki J.P. Magufuli