Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

comment yangu umeiona ila hio ya chini hujaiona, sio?
Sio Mimi nimeandika hii ripoti bali ni Serikali yenu...Unataka kuipinga Serikali yako? 😂😂
Screenshot_20200314-103317.png
 
Yani Kenya itasubr sn kwa Tz na ndiyo maana nampongeza sana Magu aliliona hili kwmb kwa ss tufanye miradi yny ROI ya fasta majengo kwnz tupotezee, na km angetaka cfa za majengo hz pesa za hii miradi ange invest kwny majengo czani km kuna paka yeyote angekatiza pua yake, ila Magu mjanja kachanga karata kaona kwnz infrastructures zen majengo yatakuja yenyewetu yatake yasitake, Magu is very Genius prezdaa
Huyu mzee ni game changer
 
Back
Top Bottom