The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Wanajua sn sema wanajitia uchizi humu, hatuwezi kufanana, cc ni bora zaidi yao tatzo letu lilikuwa moja tu, nalo ni kujitangaza na ndiyo maana ilifika mahala tukaitwa nchi ya giza yn ina kila kitu lkn haijulikani wkt kenya hawana chochote kutuzid ila walikuwa wanajitangaza na hvyo hvyo vivutio ushuzi walivyo navyo, jana nilifurahi sana kuiona bendera ya Tanzania ndani ya Wembley ikiwa imebebwa na wazunguNa wakenya wengi hawafahamu purchasing power ya pesa yetu![]()




