Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wewe ni mjinga sana. This is an epitome of double speak. Kwa hivyo Mhindi, mzungu au mwaarabu akimilki kitu Tanzania hakuna shida Kisa nyinyi "hambagui" lakini mzungu akimiliki kitu kenya Mnasema uchumi wa kenya inamilikiwa na wazungu na wahindi! Are you even listening to yourself bongolala? Uchumi wenu inamilikiwa na Omani Arabs na wahindi. Nyinyi ni walalahoi tu wasiokuwa na mbele wala nyuma
Mo dewji sio mhindi ni mtanzania by birth,hata huyo bakhresa ni mtz,hustle zake zimeanzia pale kariakoo
Kwa nini unashindwa kutofautisha nationality na asili!?..ulisoma shule gani we dogo?
 
Khaaaa gerezani flyover!!!!!???...hii ndo inajengwa wapi wadau? Mbona sijawahi sikia hii aah kudadeeki baada ya miaka 5 Dar will be scrammed with flyovers...

Mzee magu we hela unapata wapi?? Tupumzishe mzee

Ipo pale roundabout ya Barabara inayotokea waterfront pale na ile ya gerezani ukipandisha kuelekea kurasini.
 
Mo dewji sio mhindi ni mtanzania by birth,hata huyo bakhresa ni mtz,hustle zake zimeanzia pale kariakoo
Kwa nini unashindwa kutofautisha nationality na asili!?..ulisoma shule gani we dogo?
Hapendi kusikia ukweli huyo mjinga 😂😂😂
 
Mo dewji sio mhindi ni mtanzania by birth,hata huyo bakhresa ni mtz,hustle zake zimeanzia pale kariakoo
Kwa nini unashindwa kutofautisha nationality na asili!?..ulisoma shule gani we dogo?
Huyo buda anapenda sana kupoteza muda to nothing, dunia nzima inajua hao wadosi ni waTz ila yeye anataka kulazimisha kutokana na asilia. Obama chimbuko lake Africa ila akapewa uraisi na watu wenye akili, vivyo hivyo kama ilivyo kwa trump ambae ni wa Ulaya.
Labda ajiulize uwekezaji na incomes zote alizopata Obama zilishawahi kuhamishiwa Kenya?
 
Mo dewji sio mhindi ni mtanzania by birth,hata huyo bakhresa ni mtz,hustle zake zimeanzia pale kariakoo
Kwa nini unashindwa kutofautisha nationality na asili!?..ulisoma shule gani we dogo?
And you forget that people like Manu Chandaria were born and raised in Nairobi ila sasa wamebandikwa majina za "wahindi wanaomiliki" uchumi wa Kenya! Nyinyi ni wajinga kweli. Siku zote nyani haoni kundule
 
Huyo buda anapenda sana kupoteza muda to nothing, dunia nzima inajua hao wadosi ni waTz ila yeye anataka kulazimisha kutokana na asilia. Obama chimbuko lake Africa ila akapewa uraisi na watu wenye akili, vivyo hivyo kama ilivyo kwa trump ambae ni wa Ulaya.
Labda ajiulize uwekezaji na incomes zote alizopata Obama zilishawahi kuhamishiwa Kenya?
Kwa hivyo hao watu mnaowaita hapa "wahindi" dunia haijui ni wakenya? Vimal Shah was born in Nyeri, Naushad Merali was born in Nairobi. I can give you a very long list. Ila leo wamegeuka wahindi wanaomiliki uchumi wa Kenya. Nyinyi ni wajinga tu
 
Will visit this place on Sunday .

IMG_4221.JPG
 
Kwa hivyo hao watu mnaowaita hapa "wahindi" dunia haijui ni wakenya? Vimal Shah was born in Nyeri, Naushad Merali was born in Nairobi. I can give you a very long list. Ila leo wamegeuka wahindi wanaomiliki uchumi wa Kenya. Nyinyi ni wajinga tu
Mimi sitaongea chochote kuhusu wahindi wa huko kwenu kwa kua sijui lolote kuhusu wao na sina muda wa kudig. Ila ninachojua ni kuwa nyie wakenya hata kama kitu sio cha kenya mtadanganya ni cha kenya, So for now itabidi niamini ni wahindi mpaka pale utakapoweka vielelezo vinavyoonesha sio wahindi
 
And you forget that people like Manu Chandaria were born and raised in Nairobi ila sasa wamebandikwa majina za "wahindi wanaomiliki" uchumi wa Kenya! Nyinyi ni wajinga kweli. Siku zote nyani haoni kundule
Manu ndo nani!??? ..ana utajiri kiasi gani!?? Hatumjui sisi
 
Manu ndo nani!??? ..ana utajiri kiasi gani!?? Hatumjui sisi
Then shut the hell up coz i's crystal clear you talk about Kenya's economy yet you know nothing about it. He's rich enough to take care of you and your fifth generation for the next a thousand years
 
Mimi sitaongea chochote kuhusu wahindi wa huko kwenu kwa kua sijui lolote kuhusu wao na sina muda wa kudig. Ila ninachojua ni kuwa nyie wakenya hata kama kitu sio cha kenya mtadanganya ni cha kenya, So for now itabidi niamini ni wahindi mpaka pale utakapoweka vielelezo vinavyoonesha sio wahindi
Good. then siku nyingine Usiongee kuhusuu uchumi wa kenya coz n dhahiri kwamba hamjui lolote kuhusu Kenya na uchumi wake
 
Kutoka Dar to Soga tumetumia treni ya TRL.. it means kuna maeneo bado reli haijajengwa
IMG_1575017727.560859.jpg
IMG_1575017748.653805.jpg
IMG_1575017770.512783.jpg


kutoka Soga hadi before daraja la Ruvu tukatumia treni ya Yapi.. it means reli ya SGR ipo tayar kwa matumizi
IMG_1575017857.336886.jpg

IMG_1575017880.716031.jpg
IMG_1575017902.356297.jpg
IMG_1575017923.652854.jpg


Soga Station... ila walivyojenga hiv stations vidogo wametumia akili sana, hawataka kutumia hela nying kujenga mastations makubwa wakati maeneo kama haya population ni ndogo sana
IMG_1575018243.251713.jpg
IMG_1575018295.661905.jpg


Sehem ya Ruvu kuna madaraja mengi sana yanajengwa


Tutaendelea baadae.. network unasumbua sana huku
 
Kutoka Dar to Soga tumetumia treni ya TRL.. it means kuna maeneo bado reli haijajengwa View attachment 1275954View attachment 1275955View attachment 1275956

kutoka Soga hadi before daraja la Ruvu tukatumia treni ya Yapi.. it means reli ya SGR ipo tayar kwa matumizi
View attachment 1275957
View attachment 1275958View attachment 1275959View attachment 1275960

Soga Station... ila walivyojenga hiv stations vidogo wametumia akili sana, hawataka kutumia hela nying kujenga mastations makubwa wakati maeneo kama haya population ni ndogo sana
View attachment 1275964View attachment 1275965

Sehem ya Ruvu kuna madaraja mengi sana yanajengwa


Tutaendelea baadae.. network unasumbua sana huku
Naona finishing za station ndogo ni hatari
 
Kutoka Dar to Soga tumetumia treni ya TRL.. it means kuna maeneo bado reli haijajengwa View attachment 1275954View attachment 1275955View attachment 1275956

kutoka Soga hadi before daraja la Ruvu tukatumia treni ya Yapi.. it means reli ya SGR ipo tayar kwa matumizi
View attachment 1275957
View attachment 1275958View attachment 1275959View attachment 1275960

Soga Station... ila walivyojenga hiv stations vidogo wametumia akili sana, hawataka kutumia hela nying kujenga mastations makubwa wakati maeneo kama haya population ni ndogo sana
View attachment 1275964View attachment 1275965

Sehem ya Ruvu kuna madaraja mengi sana yanajengwa


Tutaendelea baadae.. network unasumbua sana huku

Safi sana , Ngoja hiyo station iishe Halafu walete kile choo chao walinganishe tena .
 
Back
Top Bottom