Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hiyo underpass ya pangani ni nini Mr. Geography?
Hii ndio three level Interchange narudia tena👇👇👇👇 mzee wa BRT dawa yako inachemka
images - 2020-03-02T123042.521.jpeg
 
Data uchwara kaa nazo huko,
Yaani quality roads wakati wakenya wanalalamika barabara za Kenya kuwa na mashimo 😂😂😂
Hii ni tweet za wakenya waliosafiri sio wewe unayeficha kichwa kwenye mchanga hapo.

The simple fact that we have quality roads doesn't mean we can't have a few in bad shape. Is there anything that's 100% in this world? How do you expect every single road to be topnotch? The way you zombies reason!!!!
 
Eti how sure 😂😂😂
Ukiwa na chuki usifikiri kila mtu ana chuki za kishamba kawa wewe.



Give us credible sources. It's stupid how you think someone can rely on a personal tweet from someone you don't even know
 
Back
Top Bottom