komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Mpokonyeni dangote kile kiwanda cha saruji ndio mlime vyakula vya maana watu vijijini wanaumia sana na mihogoKama hamna mafuta, na chai haina uwezo wa kuwapa pesa ya kujitosheleza kwa chakula, achaneni na chai na muanze kuzalisha chakula cha kutosha kwanza, hata hilo nalo mnataka tuwafundishe?, otherwise mtaendelea kufa na kudhalilika kwa kutegemea chakula cha misaada hadi mwisho wa dunia
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app


