Papi Chulo
JF-Expert Member
- Jun 8, 2018
- 6,260
- 7,397
Hiyo 80% ni slum,na wewe umejihami kwamba nisi-post slum ...sasa unataka niposti hostel??..Hiyo 80% ndio nataka upost na utaje jina ya mtaa. Mbona unashindwa kufanya kitu rahisi kama hiyo?
Hiyo 80% ni slum,na wewe umejihami kwamba nisi-post slum ...sasa unataka niposti hostel??..Hiyo 80% ndio nataka upost na utaje jina ya mtaa. Mbona unashindwa kufanya kitu rahisi kama hiyo?


if tanzania hap a gdp of 109 hatungepata usingizi ..I know what kenyas debt ratio is .I live in kenya
Ushawa jua Kenya debt to GDP ratio ni ngapi??![]()
Maendeleo ya 109b GDP yako wapi munanuka mikopo over 65% debt to GDP ratio![]()
Hujajibu swali kwasababu swali langu ni gumu sana sasa nikupe taarifa fupi hio GDP hata ingekua 200b bado kwenye hio GDP kuna deni over 65% 🤣🤣🤣Mnamwaga povu juu ya facts from IMF ,the question is why does the amaizing heaven that is Tanzania having a gdp lower than ghana .Halafu ati gdp haikuliwi ,,,if tanzania hap a gdp of 109 hatungepata usingizi ..I know what kenyas debt ratio is .I live in kenya
Sent using Jamii Forums mobile app
Kq 8 yrs loss
Kenya power 16 yrs
wapo hapa wakisifu GDP
Westlands new King of skies(GTC)AVIC INTERNATIONAL AFRICA HQs.
43
35
33
33
32
29
FLOORS
View attachment 1370051
www.constructionkenya.com
Its 47 not 43![]()
Inside GTC Tower in Nairobi
The Global Trade Centre officially opened on Dec 23, 2021.www.constructionkenya.com


hatufichi . bado gdp ni 109.13 hata deni ikuwe 100% ..najua gdp inakuuma matako .We will always be the king of EA
Hujajibu swali kwasababu swali langu ni gumu sana sasa nikupe taarifa fupi hio GDP hata ingekua 200b bado kwenye hio GDP kuna deni over 65%![]()
Mbona Mnataka tufanane jamani?Unapenda kujihami sana..sasa unataka niposti nini!????..wakati 80% ya nairobi ni slum,10% ni miti na vichaka,5% roads na 5% ndo hizo hostel na nyumba za European population..
Unataka niposti hostel zenu zipambane na hapo magomeni ambapo actually huishi watu wenye kipato duni...hey be reasonable!
Hata GDP tumewazidi, SGR, Lamu port vs bagamoyo, riadha, football, rugby, miji, miundo mbinu na njaa Yani zote kote tumewazidi.

mmetuzid mpk njaamaendeleo gani mlionao king halali na njaa 🤣🤣🤣🤣🤣Hatukatai debt ratiohatufichi . bado gdp ni 109.13 hata deni ikuwe 100% ..najua gdp inakuuma matako .We will always be the king of EA
Sent using Jamii Forums mobile app
It's just a matter of seconds 😂 😂 😂 😂