Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

2.9b usd🇹🇿🇹🇿🇹🇿👇👇👇👇


Kwenye sector ya umeme, maji, barabara, airports, ports Tanzania tunayo miradi mingi kuliko miradi yote iliopo kwenye nchi zote za ukanda huu

Kama unataka ucheke waambie wakenya walete miradi yao ya barabara yenye urefu zaidi ya kilometers 100 kutoka kwenye counties mbali mbali, wakikuletea miwili tu naondoka jf leo hii
 
Tanzania+Uganda economy haiwezi fikia ya Kenya,we are the king of East Africa
FB_IMG_15825178217655331.jpg
 
Wanakuja vizur sana,jamaa wanakasi nzuri....tunajua kitu wanafanya leo impact yake ni 5yrs to come

Sent using Jamii Forums mobile app

Msijifanye kututoa kwenye list Dar hatuna Mpinzani Ea, Ethiopia ni ligi yetu maana tunafanya vitu vya kuiinua Ea! Tramways, Electric train, Tall buildings za kisasa utazipata Dar na Addis tu nyie Nairobi na Nigeria mnatuzingua kufanya mi vitu ya kizamani kwenye karne ya kisasa mnaumwa nn?? Eti Ethiopia wanakuja .. wanakuja na wanawapita nyie vipi??


Sent from Gnet Phone using JamiiForums
 
Umeona city kama Nairobi hapa Afrika kweli?kwa hii photo Westland haipo lakini bado haina mfano wake hapa Afrika
Kesho tunaomba Wakenya mckimbie uzi km leo tutapunguza sindano ili battle icpoteze uhalisia mapema, tunataka muwepo humu wakati wanaume tunazindua lile joka la umeme tofauti yetu na nyie ni moja tu, nyie hamna jipya mnakomaa na maghorofa yenu uchafu cc tunawapiga na miradi itakayoleta maendeleo ya kweli Wazee wa westie mpoo!! daadeki ghorofa moja angle 100.
tapatalk_1582467864676.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwenye sector ya umeme, maji, barabara, airports, ports Tanzania tunayo miradi mingi kuliko miradi yote iliopo kwenye nchi zote za ukanda huu

Kama unataka ucheke waambie wakenya walete miradi yao ya barabara yenye urefu zaidi ya kilometers 100 kutoka kwenye counties mbali mbali, wakikuletea miwili tu naondoka jf leo hii
Challenge accepted and forwarded!
NOTE: Lamu-Mombasa-Lungalunga Highway disqualified as it is a regional project! Lamu-Ethiopia Road is also disquaified as it is a regional road! So is Isiolo-Mandera road!

CC: Zigi Rizla Kafrican Depay Teargass Tony254 pingli-nywee komora096 asvptx
 
Kesho tunaomba Wakenya mckimbie uzi km leo tutapunguza sindano ili battle icpoteze uhalisia mapema, tunataka muwepo humu wakati wanaume tunazindua lile joka la umeme tofauti yetu na nyie ni moja tu, nyie hamna jipya mnakomaa na maghorofa yenu uchafu cc tunawapiga na miradi itakayoleta maendeleo ya kweli Wazee wa westie mpoo!! daadeki ghorofa moja angle 100.
atii ghorofa moja angle ngapi....vile?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwenye sector ya umeme, maji, barabara, airports, ports Tanzania tunayo miradi mingi kuliko miradi yote iliopo kwenye nchi zote za ukanda huu

Kama unataka ucheke waambie wakenya walete miradi yao ya barabara yenye urefu zaidi ya kilometers 100 kutoka kwenye counties mbali mbali, wakikuletea miwili tu naondoka jf leo hii
Na miradi yenyewe IPO Nairobi tu,pengine wanaunga unga mwana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Coast Region cited for 40bn/- gas tank plant
ippmedia.com/en/news/coast-region-cited-40bn-gas-tank-plant

February 24, 2020
ippmedia.png

24Feb 2020
The Guardian Reporter
Mkuranga
News
The Guardian
Coast Region cited for 40bn/- gas tank plant
A MULTIPURPOSE gas tank manufacturing factory is to be set up in Mkuranga District in Coast Region at an estimated cost of USD25 million (over 40bn/-).
plant%20ed.jpg

Angellah Kairuki, the Minister of State in the Prime Minister’s Office (Investment) said in Dar es Salaam at the weekend that Egyptian firm, Supreme Holdings chief executive officer Dr Moharram Helal is set to start building the plant.
The move is expected to end reliance on imported tanks when the plant became operational, but the minister did not give the time frame for the construction of the plant and start of production.
It is expected to employ about 300 local staff and up to 30 expatriate managers and technicians from Egypt when it starts production, she stated.
The plant will produce 1,000 tanks daily and fill with gas 3,000 tanks with capacity ranging between 15 and 30 kilogrammes daily, she said, pointing out that the government has asked the investor to consider producing tanks with capacity below 15kgs.
“We consider a plant of this nature a vital strategic investment. Once it becomes operational we shall no longer import such tanks. So this is an important area of investment in our agenda to make Tanzania a middle-income industrial country by 2025,” she said.
“We have assured him Tanzania is the right place for rewarding investments and I have encouraged him to deal directly with the TIC,” she further asserted.
The Tanzania Investment Centre (TIC) ought to give the investor all the necessary help, the minister underlined, using the occasion to ask all investors to deal directly with the TIC, instead of using middlemen for issues like land allocation and issuance of various clearances.
Dr Helal thanked the minister for the cooperation accorded to him, saying Tanzania was a good place for investment, pledging to build the plant speedily.
“We have come to Tanzania because we have a wealth of experience in this area. Once the procedures are completed, we shall built the plant in a short period and roll out tanks,” he declared, flanked by Intergas general manager, Dr Hatem Ahmed.
 
Back
Top Bottom